only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Kwa kawaida dalili ya serikali isiyojali wananchi wake ina sifa zifuatazo...
- kuwadharau wananchi...kumbukeni kauli hizi "Ni bora watanzania wale nyasi ndege ya raisi inunuliwa" by Mramba na hii "waliopoteza maisha walikuwa ni majambazi waliovamia mgodi wa madini" by Kagasheki
- Kuwaua.
- Kutojali maisha yao..angalia gharama ya maisha yanavyopanda kila siku