Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa huko Tarime hali ni mbaya sana baada ya Polisi kupiga Mabomu na kuwakamata Lissu ,Waitara na Makamanda wengine wa CHADEMA.Polisi wamepiga mabomu hayo ili wapate nafsai ya kuvamia Mochwari walikohifadhiwa marehemu.Hali si shwari kabisa.
Naomba tuwaombee wenzetu wote wa Tarime ili MUNGU awalinde na kuwaepusha na mabaya zaidi.
Naomba tuwaombee wenzetu wote wa Tarime ili MUNGU awalinde na kuwaepusha na mabaya zaidi.