Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Kwanini wewe unamwamini Regia mtema? let ushahidi
Michuzi kuandika hivyo katumia waandishi wake ndomana kaleta huu ukweli[/QUOT
ushahidi ni picha ya jeneza barabarani
Kwanini wewe unamwamini Regia mtema? let ushahidi
Michuzi kuandika hivyo katumia waandishi wake ndomana kaleta huu ukweli[/QUOT
ushahidi ni picha ya jeneza barabarani
kasema kauli ya Lissu kabla ya kuwekwa ndani mkuu vp?. Angalia tena heading
Akiwa darasa la tano Lissu aliumwa maradhi ya akili! Sina hakika kama ameshapona!
niliwambia tundu lisu hafai hata kuwa cr mkabisha hajui taratb na sheria zilizopo
Hivi kulikuwa na ulazima CDM kushinikiza mazishi? Naomba nipate maoni kwenu mlio karibu na vigogo Wa CDM
We kweli msomi?
Wote wanafiki wa CDM mtapoa tu, CCM itatuliza hili boli kiulaini tu. Walioleta fujo watashughulikiwa walio fiwa watapewa pole na yote yatapita. Na hao wabunge wenu walio kwenda huko kutafuta umaarufu basi watakiona cha moto.