notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
MVUNA MAJANGA HULA NA NDUGUZE....ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine wamechanwa utumbo ,wengine miguu,wengine mikono nk. la kushangaza watu hawa hawakushitakiwa na polisi kwenye hati za mashitaka za leo. guys its terrible mno.
Dhamira ya kuifanya serikali isitawalike haitafanikiwa na itapambana na nguvu kubwa. na kwa sababu waTZ niwapumbavu na COWARDS(kama walivyo wanaJF wengi), mtalialia na mwisho mtatulia.
TRICK anayoitumia Slaa na wajinga wengine ndani ya CDM ili wafunguliwe mashtaka na wafungwe jela!!!!!!!! ili kujiongezea umaarufu kwa malengo ya 2015, hayawezi kufanikiwa kwani hakuna ATAKAYEFUNGWA NA VIBARAKA WENU WAKIKAIDI AMRI HALALI ZA POLISI WATAPIGWA RISASI. watageuka vilema, ombaomba na mwisho watakuwa MASHOGA mtaani na wataolewa na wanaume wenzao.