Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine wamechanwa utumbo ,wengine miguu,wengine mikono nk. la kushangaza watu hawa hawakushitakiwa na polisi kwenye hati za mashitaka za leo. guys its terrible mno.