Si kweli. Mpendazoe kapigani Segerea ya Segerea (Tabata).
tunashukuru kwa taarifa , tupatie data tafadhali.................Amini usiamini. Habari ndo hiyo.
Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.
Nasikia Batilda anatapika nyongo kwa kwenda mbele.
Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.