Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Saidi Mwema amekanusha vibaya sana tuhuma za makaratasi ya kura kukamatwa kule Tunduma. Amedai huo uvumi ni uzushi mtupu. Amesema mapolisi wamelikagua hilo gari lakini hawakuona hayo makaratasi ya kupiga kura au maboksi yanayosadikiwa yana kura zilizoghushiwa na na kumpa JK kura ya ndiyo.
Uvumi ulioenea unadai kura zipatazo milioni saba tayari zilikamatwa na TRA na sasa zilikuwa chini ya polisi.
Source: Channel ten
Uvumi ulioenea unadai kura zipatazo milioni saba tayari zilikamatwa na TRA na sasa zilikuwa chini ya polisi.
Source: Channel ten