mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika inasikitisha kuwaona Wazee wetu Wastaafu wakihangaika na maisha kutokana na Serikali kutowalipa Mafao yao baada ya Kustaafu Juni 2018.Wabunge nyie ndio wawakilishi wa hao Wazee Wetu Wastaafu hebu wasemeeni huko Bungeni juu ya Mafao yao.Wazee hao wengi wao Walistaafu mwezi Juni 2018,na mpaka sasa ni miezi 9 hawana kipato chochote wanachopata sio Mafao yao wala Pensheni ya kila Mwezi hakika Serikali iwalipe Wastaafu hawa.