twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
Watoto wanahitaji elimu na muda wa kutosha
wa kukaa na wazazi wao sio kuwatumikisha.
Inaonyesha wazai wengi uwanyima watoto haki ya elimu hasa wale watoto ambao waliopotezewa na wazazi,ndugu zao wa karibu,hatima yake ni kuwatumikisha na kupoteza mda mwingi kwa kufanya biashara na sio kwa ajiri ya masomo.