Haki ya elimu kwa watoto

twenty2

JF-Expert Member
May 20, 2011
296
32
ajira.jpg

Watoto wanahitaji elimu na muda wa kutosha

wa kukaa na wazazi wao sio kuwatumikisha.


Inaonyesha wazai wengi uwanyima watoto haki ya elimu hasa wale watoto ambao waliopotezewa na wazazi,ndugu zao wa karibu,hatima yake ni kuwatumikisha na kupoteza mda mwingi kwa kufanya biashara na sio kwa ajiri ya masomo.
 
Back
Top Bottom