Haki haidaiwi kwa maandamano-PENGO

Una uhakika na unachokiongea? kuwa kanisani huruhusiwi ku-reason? Nadhani unajaribu kuliwasilisha hili to the wrong person? Nikikujibu kwa kutumia Church Doctrines and Theology nitakuchanganya akili na kukupoteza kabisa kutoka na msingi ulio nao kichwani na ambao umeamua kuufuata.
Kwa kukusaidia labda nikujibu kwa kutumia mifano rahisi kabisa amabyo hata mtoto wa sunday schools ataelewa:
Si kweli kwamba kanisa linakataza waumini/watu ku-reason, kama ingekuwa hivyo katika mafumdisho yake juu ya uumbaji, basi ile sehemu ya Mungu alitupa wanaadam akili na utashi kisingefundishwa.
Kanisa lisingejenga vyuo. pia kanisa lisingejenga Hospitals wangekuwa wanahimiza watu wapone kwa maombi badala ya kutegemea dawa.
Lisingefundisha watu katika kujitafuta na kujitambua, mafundisho katika ukristo yana mhimiza sana mtu kujitafuta, na kujitambua yeye na wajibu wake katika hii dunia na huwezi ukafanya yote hayo kama huna uwezo au uhuru wa ku reason.
Na ndiyo maana hawalazimishi mtu kuamini waaminicho, wanatambua haki za viumbe wengine katika hii dunia ndiyo maana wanahifandhi mazingira, wanatambua haki za watu wa imani nyingine katika hii dunia ndiyo maana wanafundisha heshima na utu kwa wote, wanatambua kuwa tofauti za rangi, maumbile, imani e.t.c ni mpango wa Mungu na hivyo hawahitaji kuwabeza wengine na wao kujiona bora, bali wanahitajika kuwatambua, kuchangamana nao na kutowakwaza katika imani zao.

Sasa ndugu yangu , mpaka hapo sijui tuhuma zako zina ukweli kwa kiasi gani?
Najua umechagua kulaumu/kutuhumu kwa kuwa ni rahisi kufanya hivyo kuliko ungechagua tofauti na hivyo au kukaa kimya.

Anyway, pamoja kuwa umetoa ad hominen arguments- by character assassination-mara chekechea etc, mimi sitakuwa kama wewe. Bado naamini kuwa kanisani hakuna ku-reason when it comes to IMANI. hapa ndipo hukunielewa, sio kwenye scientific fields or social fields etc. Ni hapa kwenye IMANI ya dini tu!!. Ukiwauliza scientific proof ya existence ya God wanang'aka kuwa inabidi uamini tu. Mimi vile vile naamini in God, but I can not prove his existence beyond reasonable douts!!!!!! Nadhani hata Mungu huyo kama yupo anahitaji mtu kama mimi wa kuhoji mambo, sio kukubali tu!!!! na uki-reason sana kesho utaasi dini.
Next time kuwa na uvumilivu maana umenijibu kwa jaziba ndio maana umetumia maneno ya dharau-chekechea etc- wote humu nadhani tu wasomi wazuri tu, ni kuwa hatujuani kwa physical identity. Anyway, upendo wa Yesu ukutawale na sisi wote
 
Anyway, pamoja kuwa umetoa ad hominen arguments- by character assassination-mara chekechea etc, mimi sitakuwa kama wewe. Bado naamini kuwa kanisani hakuna ku-reason when it comes to IMANI. hapa ndipo hukunielewa, sio kwenye scientific fields or social fields etc. Ni hapa kwenye IMANI ya dini tu!!. Ukiwauliza scientific proof ya existence ya God wanang'aka kuwa inabidi uamini tu. Mimi vile vile naamini in God, but I can not prove his existence beyond reasonable douts!!!!!! Nadhani hata Mungu huyo kama yupo anahitaji mtu kama mimi wa kuhoji mambo, sio kukubali tu!!!! na uki-reason sana kesho utaasi dini.
Next time kuwa na uvumilivu maana umenijibu kwa jaziba ndio maana umetumia maneno ya dharau-chekechea etc- wote humu nadhani tu wasomi wazuri tu, ni kuwa hatujuani kwa physical identity. Anyway, upendo wa Yesu ukutawale na sisi wote
First - I would like to respond as to your wishes AMEN

Second:
Im not that easy tempered, pia huwa sina tabia ya kumdharau mtu, labda mfumo wangu wa uumbaji wa maneno unaweza ukakupeleka katika analysis ya aina hiyo uliyokuja nayo juu yangu dhidi yako.
Hongera kwa kuwa wewe ni msomi, but poor me, Im not msomi me never went into those academics buildings of yours......

Kwa majibu yako juu ya IMANI hata baada ya kupewa ufafanuzi, tayari unanaonyesha ni wewe mwenyewe unaejinyima uhuru wa ku-reason.
Shughuli na mafundisho ya kanisa kama niliyokuorodheshea hapo juu msingi wake ni IMANI. Sijui ni vipi kwa nini unajaribu kuvitenganisha vitu hivyo hapo juu na kujaribu kujenga Picha ionekane tofauti zao ni maji na mafuta. Kwamba havichangamani.

Anyway nadhani ni busara kuwa na kiasi katika malumbano ya hoja kuliko kuyaendeleza wakati dalili zimeonyesha hakutakuwa na muafaka.

Amani yake Iwe Juu yako Pia.
 
Mimi binafsi siamini kama mtumishi wa Mwenyezi ameongea hayo maneno, haiwezekani! Sababu kigezo chetu Wakristo Bwana Yesu ambaye alikuwa VIOLENT. He said: "The false prophets came to you like sheep on the outside. But on the inside they are realy like wild wolves"(Mt 7:15)
"Away from me, you that are under curse! Away to eternal fire which had been prepared for devil and his engels"(Mt25:41)
"The kingdom of heaven has suffered violent attacks' and the violent men try to seize it"
Violent deads of Jesus;
Jn2:14-16 tunaona ....he made a whip from a cord and drove all the animals....he overtured the tables.....!
Muangalieni Yohana mbatizaji baada ya kusali hakukaa bali aliandamana hadi Ikulu na kukemea Ufisadi, akakatwa kichwa yuko peponi!
Yesu mwenyewe hakukaa Mbinguni kuomba watu waokolewe bali alitwaa mwili, akateswa, akamwaga damu hadi kifo cha aibu msalabani.......
 
Mimi binafsi siamini kama mtumishi wa Mwenyezi ameongea hayo maneno, haiwezekani! Sababu kigezo chetu Wakristo Bwana Yesu ambaye alikuwa VIOLENT. He said: "The false prophets came to you like sheep on the outside. But on the inside they are realy like wild wolves"(Mt 7:15)
"Away from me, you that are under curse! Away to eternal fire which had been prepared for devil and his engels"(Mt25:41)
"The kingdom of heaven has suffered violent attacks' and the violent men try to seize it"
Violent deads of Jesus;
Jn2:14-16 tunaona ....he made a whip from a cord and drove all the animals....he overtured the tables.....!
Muangalieni Yohana mbatizaji baada ya kusali hakukaa bali aliandamana hadi Ikulu na kukemea Ufisadi, akakatwa kichwa yuko peponi!
Yesu mwenyewe hakukaa Mbinguni kuomba watu waokolewe bali alitwaa mwili, akateswa, akamwaga damu hadi kifo cha aibu msalabani.......
Ni vizuri kama tungeipata habari kamili kutoka Tanzania Daima.
 
Pamoja na kuwa si busara kukimbilia maandamano kila wakati. Lakini ukweli utabaki kuwa Maandamano ni njia ya kuwasilisha ujumbe, hata kanisa hufanya maandamano, taasisi mbali mbali hufanya maandamano, katiba inaruhusu maandamano. Labda alimaanisha kuwa maandamano si njia pekee ya kudai haki, au si hatua ya kukimbilia katika kudai haki, inawezekana anahimiza umuhimu wa majadiliano ya pande mbili. kwani faida ya majadiliano ni kuwa huacha watu wa pande mbili wakiwa wameshikana mikono kwa furaha, wakati maandamano ya kudai haki huacha jamii ikiwa katika mapande mawili makubwa, na ambayo yamesimama juu ya misingi imara ya chuki, visasi, na ujeuri. Muanzisha Thread umeiweka kwa kifupi sana hiyo taarifa, sijui lengo lako ni nini? Siamini kama Tanzania Daima wameandika taarifa nyeti kama hiyo kwa ufupi huo. Nakushauri usiwe mwoga wa kusikiliza mawazo yanayokinzana na ya kwako ,Wape wasomaji uhuru wa kusoma habari kamili na kuelewa kwa uwezo wao kiakili badala ya kuwalazimisha waelewe ulivyoelewa.

kweli mkuu. unajua viongozi wengi hutumiwa na watawala? Karl Marx, alisema dini hasa ya Kristo, ni opium kwa umma, watu wanakuwa mazuzu kwa faida ya wanasiasa
 
QUOTE]



Nahisi kwanza tumetoka nje ya mada, pili, nahisi kama mnakubaliana juu ya mnachopingana, tafauti iko atika uwasilishaji wa hoja. Ningependa mnisaidie mifano hii katika IMANI na REASONING:
- Tukifa tunaenda peponi au motoni. Pepo na mtoto ziko wapi?
- "Mungu humpa amtakaye na kumnyima amtakaye. Mungu humwongoa/humpotosha amtakaye". "Liandikwalo na Mungu halifutiki".
Kutokana na dondoo hizo hapo juu toka baadhi ya vitabu vya dini/Mungu, KIIMANI naelewa na ninakubali uwepo wa Mungu Muumba, lakini KI"REASONING",
-Nitajuwaje kuwa Mungu amenitaka mimi kuniweka anapotaka yeye?
- Ikiwa aliloandika halifutiki, kwa nini tusiishi kwa tunavyotaka? - Kwa nini hata nikifanya kosa gani, nikienda kutubu kanisani yameisha? Nani atanithibitishia kuwa yameisha? Kwa nini kwa kosa hilo hilo Serikali ikinikamata inanihukumu, wao ni bora mkuliko Mungu wangu?
- Ikiwa Mungu atamwongoa amtakaye, kwa nini mimi nihangaike kutenda wema nikijua tayari kalamu yake ilishapita? Ndio maana mimi masikini, pamoja na juhudi zangu za mchana kutwa kujitafutia riziki, bado nashindwa na mlo wangu wa siku, wakati wengine hata hawatoki jasho na wanaishi vizuri? Mimi masikini malipo yangu ni pepo na tajiri yake ni moto?
 
Afadhali mwenzenu kawaonya kuhusu maandamano. Huyu nasikia ni kama mungu hapa duniani. Sasa acheni kumsikiliza muone.

Hivi hakuna siku ambayo utakuja kuongea jambo la maana angalau once in your life time! Huu ulioandika hapa ni upuuzi. Kama umecheza na wazazi wako sasa usihamie kwa aliyekuumba, ongea upuuzi wako lkn Mungu hafananishwi na binadamu.

Excrement of the clan!
 
Tuvumiliane Mdau,hata mr Msoga amesema
Hivi hakuna siku ambayo utakuja kuongea jambo la maana angalau once in your life time! Huu ulioandika hapa ni upuuzi. Kama umecheza na wazazi wako sasa usihamie kwa aliyekuumba, ongea upuuzi wako lkn Mungu hafananishwi na binadamu.

Excrement of the clan!
 
Back
Top Bottom