kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 764
- 512
Bado atakua na sifa yakugombe nafasi yeyote ile hapa nchini!!
kashapoteza sifa zakuwa rais maisha yake yote
Kwa nini sisi wachaga tumejazana chadema.
Umelazimishwa kuipenda chadema? Kama mmejazana si mmependa nyie?Kwa nini sisi wachaga tumejazana chadema.
Huyo hakimu naye magamba vilevile kama mshtaki hana shahidi ameridhishwa vipi na upande wa mashtaka mpaka atoe hukumu hiyo au mtoa nada hajasema hapo muwa mlalamikaji hakua na shahidi hata mmoja? Nisaidieni jamani hii sijaielewa maana nahisi mtoa mada ni mfuata mkumbo wa mgamba tafadhali msaada Kwa hili
Watafunguliwa kesi za jinai karibu wote ili wajiuzulu... hii ni Tanzaniayaani kwa hukumu hii, inatakiwa ajiuzulu nafasi zake zote hadi atakapo weza kuifuta hukumu hii. ila kwa siasa za tanzania ataendelea tu
Keshapoteza sifa ya kugombea nafasi yeyote, ikiwemo Ubunge.
yaani kwa hukumu hii, inatakiwa ajiuzulu nafasi zake zote hadi atakapo weza kuifuta hukumu hii. Ila kwa siasa za tanzania ataendelea tu
Kashapoteza sifa zakuwa rais maisha yake yote
Hiyo ni criminal. Mojawapo ya test ni pamoja na kwamba fine inalipwa kwa jamhuri na wala siyo aliyepigwa. Pia mshitaki alikuwa jamhuri na si aliyepigwa.
Aliyepigwa anaweza fungua kesi ya madai na kuomba alipwe fiadia.
Kesi ya muda hii,tangu 2010,so dogo alopigwa ndo atapewa hyo mil 1? Au inaenda kwa gvt?Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.
Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.
Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.
Ameondoka kuelekea Dar.
haya sasa. Huyo anataka ridhaa ya wananchi wakichague chama chake, atakuwa mwenyekiti wa chama tawala anayeshambulia raia wake.
Unaweza kuniambia sheria ipi ilishawahi tekelezwa kikamilifu Tanzania.
Tumesikitishwa sana na hujuma zilizofanywa na mahakama leo baada ya kutoa hukumu iliyokuwa inamuhusu mbunge wa jimbo la hai ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa mhe.Mbowe kupewa hukumu ya kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni moja .ukisoma katiba kwa makini katiba yetu kwa mstari hapo chini .Mbowe hatoweza tena kugombea ubunge wa hai kutokana na hukumu ya leo
View attachment 261192
Hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho baada ya ccm kuona Mbowe anakubalika sana kwenye jimbo lake la hai naona ccm wameamua kuja hizi mbinu za hujuma kwa kushirikiana na mahakama lakini watambue watakuwa wanashinda na moto wa gesi hawawezi kufanikiwa kuzuia harakati za Mbowe kwenye ukombozi wa nchi hii.
CCM IPO KWENYE MSTARI WA KIFO.
Mwenykiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Leo katika Mahakama ya Mjini Hai, amepatikana na hatia ya kumshambulia muangalizi wa kituo cha kupigia kura.
Amehukumiwa faini ya 1m au kifungo cha mwaka 1.
Watu waliofika mahakamani hapo wamechanga pesa hizo na kumlipia papohapo.
Ameondoka kuelekea Dar.