Tumesikitishwa sana na hujuma zilizofanywa na mahakama leo baada ya kutoa hukumu iliyokuwa inamuhusu mbunge wa jimbo la hai ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa mhe.Mbowe kupewa hukumu ya kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni moja .ukisoma katiba kwa makini katiba yetu kwa mstari hapo chini .Mbowe
hatoweza tena kugombea ubunge wa hai kutokana na hukumu ya leo
View attachment 261192
Hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho baada ya ccm kuona Mbowe anakubalika sana kwenye jimbo lake la hai naona ccm wameamua kuja hizi mbinu za hujuma kwa kushirikiana na mahakama lakini watambue watakuwa wanashinda na moto wa gesi hawawezi kufanikiwa kuzuia harakati za Mbowe kwenye ukombozi wa nchi hii.
CCM IPO KWENYE MSTARI WA KIFO.
Tuna mawakili wasomi akina Lisu
Hii ni issue ndogo
Mbona Rage na Chenge walihukumiwa na wakalipa faini na wakagombea ubunge?