Kuna theory moja sijui hii ni ya ukweli iko hivi; ikitoka awamu ya kiongozi imara, mchapa kazi na asiyetaka mchezo kwenye kazi basi awamu inayofuata itakuwa goigoi na yenye kuchezewa na wapiga deal hadi wananchi washangae!!

Sijui upo ukweli?
Wanasema unabana halafu unaachia unabana tena halafu unaachia ndio maisha kibongo bongo tutafika.
 
Leo pale kivukoni wamezuia magari na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi ili uweza kufanya hiyo hafla ya utiaji saini,ukiliangalia hili jambo kiundani utakuja kugundua inaonyesha wazi wazi jinsi viongozi wetu wa zama hizi
Wahuni tu mbona mikataba ya madini na gas hawakufanyia hadharani
 
Kuna theory moja sijui hii ni ya ukweli iko hivi; ikitoka awamu ya kiongozi imara, mchapa kazi na asiyetaka mchezo kwenye kazi basi awamu inayofuata itakuwa goigoi na yenye kuchezewa na wapiga deal hadi wananchi washangae!!

Sijui upo ukweli?
100% correct
 
Tuna viongozi washamba wasio na maono makubwa ndio maana wao hata matengenezo ya kivuko ni issue kubwa kwao.
 
Tuna viongozi washamba wasio na maono makubwa ndio maana wao hata matengenezo ya kivuko ni issue kubwa kwao.
 
Inasikitisha sana kuona jambo dogo la utiaji saini kwa ajili ya kwenda kwenye matengenezo ya Mv Magogoni ukifanyiwa sherehe kitu ambacho hakikufanyika kwa Mv kazi japokuwa ilitengeneza hapa hapa na mzawa Songoro marine.

Leo pale kivukoni wamezuia magari na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi ili uweza kufanya hiyo hafla ya utiaji saini,ukiliangalia hili jambo kiundani utakuja kugundua inaonyesha wazi wazi jinsi viongozi wetu wa zama hizi wasivyokuwa serious na kazi,kivuko cha Mv Magogoni ni cha muda mrefu kidogo na kilipaswa kupelekwa mapema sana kwenye matengenezo bila kuchelewa kwa sababu ni kikubwa na ni msaada mkubwa kwa wananchi wa Kigamboni sasa kimeegeshwa ni wiki ya 3 sasa na leo ndio inafanyika hiyo hafla kwanza kabla ya kupelekwa Mombasa kwa matengenezo.

Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni malalamiko na minongono mingi ya wananchi mbalimbali waliokuwa wanavuka hakika wameshangazwa sana na hilo jambo wamebaki wakijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu.

Tunaomba serikali ijaribu kuwa inaangalia umuhimu wa jambo kabla halijafanyika kwa maslahi mapana ya Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Tunaongozwa na waswahili wa pwani huo ndio utamaduni wao
 
Hiyo MV Kazi unaambiwa imekarabatiwa kwa takribani bilioni mbili na ushee na imetumia mwaka mmoja na miezi kadhaa, hiyo MV Magogoni nadhani itafika hata kwenye bilioni tisa huko na inaweza karabatiwa kwa miaka hata mitatu. Black colour ni laana
 
Inasikitisha sana kuona jambo dogo la utiaji saini kwa ajili ya kwenda kwenye matengenezo ya Mv Magogoni ukifanyiwa sherehe kitu ambacho hakikufanyika kwa Mv kazi japokuwa ilitengeneza hapa hapa na mzawa Songoro marine.

Leo pale kivukoni wamezuia magari na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi ili uweza kufanya hiyo hafla ya utiaji saini,ukiliangalia hili jambo kiundani utakuja kugundua inaonyesha wazi wazi jinsi viongozi wetu wa zama hizi wasivyokuwa serious na kazi, kivuko cha Mv Magogoni ni cha muda mrefu kidogo na kilipaswa kupelekwa mapema sana kwenye matengenezo bila kuchelewa kwa sababu ni kikubwa na ni msaada mkubwa kwa wananchi wa Kigamboni sasa kimeegeshwa ni wiki ya 3 sasa na leo ndio inafanyika hiyo hafla kwanza kabla ya kupelekwa Mombasa kwa matengenezo.

Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni malalamiko na minongono mingi ya wananchi mbalimbali waliokuwa wanavuka hakika wameshangazwa sana na hilo jambo wamebaki wakijiuliza maswali mengi yasiyokuwa na majibu.

Tunaomba serikali ijaribu kuwa inaangalia umuhimu wa jambo kabla halijafanyika kwa maslahi mapana ya Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Watakibeba au kitatembea chenyewe? Kwanini kisifanyiwe matengenezo hapahapa, kuna kaharufu ka upigaji.
 
Ni upuuzi tuu unakuta kiongozi mkubwa wa nchi anashiriki hafla ya kugawa magodoro sijui bibi, magari, baiskeli. Ni ujinga tuu.

Wanaamini kupitia hizo shughuli ndio kunawapa mileage ya kuonekana utendaji kazi wao. Matokeo yake siasa zinazidi kutawala utendaji.

Subiri hafla ya kupokea vichwa vya treni, hafla ya kuwasha treni.

Ni vitu vya dakika kukata utepe na kutembea ila hadi michambano
 
Hii tabia ya kutafuta attention kwenye kila jambo ni dalili ya uoga na kutojiamini kwa serikali yetu, na watendaji wake.

Nchi imegeuka ya "hafla" kila siku, hapo naamini budget iliandaliwa wajanja wameshajipigia chao, maisha yanaendelea, kesho tena wanapanga waandae "hafla" ya nini kingine wajipigie pesa za wajinga.
Kazi Tunayo
 
Mazuri ya JPM tumeyasahau ila tumebeba Upuuzi wa kipindi kile..., Hii Tabia nilikuwa naipigia kelele tangia awamu iliyopita
 
Back
Top Bottom