Hadhi ya Ubalozi inatolewa kiholela

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,535
8,620
Katika miaka ya karibuni ukianzia utawala wa Magufuli hadi sasa, tukianza kuorodhesha kuna Watanzania wengi sana wameteuliwa kuwa Mabalozi na wapo wengi tu ambao wameteuliwa na hawajawahi hata kupangiwa vituo vya kazi, hii ni kuwaumiza watanzania kwani hizo hadhi zinatolewa kama zawadi au adhabu au kuwaondoa watu nchini na sio sifa halisi za kusaidia nchi yetu.

Hata kwenye uteuzi wa juzi tu kuna ambao walikuwa wameapa kama mabalozi na hata kabla hawajapangiwa vituo wanapangiwa kazi zingine, kuna wengine wameteuliwa ubalozi wamekaa nje miaka hata miwili haijafika wanarudi nchini, hizo zote gharama za kuwasafirisha na familia zao na mambo mengine ni za watanzania na kuishia kurudishwa nchini hata kabla mikataba yao haijaisha hii sasa inaondoa HADHI ya cheo cha UBALOZI wamekua wengi sasa kama wa NYUMBA KUMI KUMI.

Kuna wengine kama Balozi Nchimbi yeye anakuwa victims wa siasa muda wote kuna wenzake hawataki arudi nchini, hata majuzi ilitangazwa kabisa kuwa amerudishwa nyumbani apangiwe kazi nyingine lakini huyo huyo jana kaonekana anawapeleka ujumbe wa TFF na waziri wa michezo makao makuu ya CAF

Kulikuwa na haja gani ya kutangaza kumrudisha kama muda bado , ikumbukwe kuwa aliporudi nchini baada ya kuwa “exciled” na Magufuli yeye na Afisa Mombo ilitegemea angebaki nchini hata kupumzika ikizingatiwa pia kuwa alikuwa kamaliza kumzika Baba yake lakini ghafla hata kabla ya mwezi akakimbiziwa Egypt Bila hata kutangazwa na bila hata kuambiwa Balozi Maj Gen Bahati amerudishwa.

NADHANI washauri kuwa makini mnajikuta mnaliingiza taifa kwenye gharama kubwa bila sababu. Mabalozi walio mtaani wanaosubiri kupangiwa vituo wamekuwa wengi sana ..wote hao pale tu wanapotangazwa wanalipwa mishahara na stahiki za ubalozi.
 
Nadhani ni wakati sasa muheshimiwa rais afanye teuzi kama alivyokuwa anafanya mwenzake aliyepita,anajifungia na mkeka lkulu ndani peke yake, asubuhi anatoka na kinote book chake anamsomea Yunus,then mkeka unatupwa hewani,hii ya kuwaachia watu wengine hili jukumu naona iko shida somewhere...
 
Kweli kabisa,

Sasa unajiuliza mtu kama Bashiru au John Ulanga Ubalozi wanafanyia kitu gani... au bas tu kuwaziba midomo kama walivyojaribu kwa Dr Slaa?
 
Nadhani ni wakati sasa muheshimiwa rais afanye teuzi kama alivyokuwa anafanya mwenzake aliyepita,anajifungia na mkeka lkulu ndani peke yake,asubuhi anatoka na kinote book chake anamsomea Yunus,then mkeka unatupwa hewani,hii ya kuwaachia watu wengine hili jukumu naona iko shida somewhere...

Hawa watu wanamchomekea , wengine wanaingiza majina ya jamaaa zao , sasa kama mfano Maharage inaonekana pengine alitakiwa kuwa pembeni kabisa …lakini kutokana na influence ya Godfaza wake waka lobby aende shirika lingine lenye ukwasi …..na mama akasaini ..
Inaonekana majina yametoka waliofanya kazi ya kupendekeza ndio wanaenda kulalamika kwa mama …”imekuaje huyu mbona umemuweka ….” , ndio sasa inabidi kwa kuona vipi wampe posta …
Ni kama issue ya Katibu Mkuu wa wizara ya Nje …kukaa siku moja anaapa na kesho yake anapewa tena unaibu mwanasheria mkuu …

Halafu Kama Januari na Byabayto wamechemsha Nishati kwanini wote wawili DUET wapelekwe tena ofisi moja ….ina maana Januari ndio kachagua NAIBU anayemtaka ?????
 
Kweli kabisa,

Sasa unajiuliza mtu kama Bashiru au John Ulanga Ubalozi wanafanyia kitu gani... au bas tu kuwaziba midomo kama walivyojaribu kwa Dr Slaa?

Ndio maana katiba mpya inatakiwa kupunguza huu mzigo kwa rais , there just too much in her plate …na matokeo yake kama ana wasaidizi wabaya watakuwa wanachomeka majina tu …anasaini….
Hizi nafasi mfano balozi akishateuliwa basi aende bungeni kamati ya ulinzi na mambo ya nje ….ahojiwe kwa uwazi kabisa ….kabla ya kutangazwa rasmi na kuapishwa …..nchin za wenzetu kila nafasi ya teuzi lazima iidhinishwe na bunge .
Na nafasi nyingine zote muhimu …….
 
Ndio maana katiba mpya inatakiwa kupunguza huu mzigo kwa rais , there just too much in her plate …na matokeo yake kama ana wasaidizi wabaya watakuwa wanachomeka majina tu …anasaini….
Hizi nafasi mfano balozi akishateuliwa basi aende bungeni kamati ya ulinzi na mambo ya nje ….ahojiwe kwa uwazi kabisa ….kabla ya kutangazwa rasmi na kuapishwa …..nchin za wenzetu kila nafasi ya teuzi lazima iidhinishwe na bunge .
Na nafasi nyingine zote muhimu …….
Bunge lipo wapi hapa hili la akina Kibajaji na Musukuma?
 
Hawa watu wanamchomekea , wengine wanaingiza majina ya jamaaa zao , sasa kama mfano Maharage inaonekana pengine alitakiwa kuwa pembeni kabisa …lakini kutokana na influence ya Godfaza wake waka lobby aende shirika lingine lenye ukwasi …..na mama akasaini ..
Inaonekana majina yametoka waliofanya kazi ya kupendekeza ndio wanaenda kulalamika kwa mama …”imekuaje huyu mbona umemuweka ….” , ndio sasa inabidi kwa kuona vipi wampe posta …
Ni kama issue ya Katibu Mkuu wa wizara ya Nje …kukaa siku moja anaapa na kesho yake anapewa tena unaibu mwanasheria mkuu …

Halafu Kama Januari na Byabayto wamechemsha Nishati kwanini wote wawili DUET wapelekwe tena ofisi moja ….ina maana Januari ndio kachagua NAIBU anayemtaka ?????
Huyu ndiyo anaharibu nchi yetu
 
Nadhani ni wakati sasa muheshimiwa rais afanye teuzi kama alivyokuwa anafanya mwenzake aliyepita,anajifungia na mkeka lkulu ndani peke yake,asubuhi anatoka na kinote book chake anamsomea Yunus,then mkeka unatupwa hewani,hii ya kuwaachia watu wengine hili jukumu naona iko shida somewhere...
Kuna shida kubwa sn kwenye hii nchi yaani mambo mengi ni uozo tupu
 
Katika miaka ya karibuni ukianzia utawala wa Magufuli hadi sasa , tukianza kuorodhesha kuna watanzania wengi sana wameteuliwa kuwa Mabalozi na wapo wengi tu ambao wameteuliwa na hawajawahi hata kupangiwa vituo vya kazi , hii ni kuwaumiza watanzania kwani hizo hadhi zinatolewa kama zawadi au adhabu au kuwaondoa watu nchini …na sio sifa halisi za kusaidia nchi yetu.

Hata kwenye uteuzi wa juzi tu kuna ambao walikuwa wameapa kama mabalozi na hata kabla hawajapangiwa vituo wanapangiwa kazi zingine, kuna wengine wameteuliwa ubalozi wamekaa nje miaka hata miwili haijafika wanarudi nchini, hizo zote gharama za kuwasafirisha na familia zao na mambo mengine ni za watanzania na kuishia kurudishwa nchini hata kabla mikataba yao haijaisha hii sasa inaondoa HADHI ya cheo cha UBALOZI wamekua wengi sasa kama wa NYUMBA KUMI KUMI.

Kuna wengine kama Balozi Nchimbi yeye anakuwa victims wa siasa muda wote kuna wenzake hawataki arudi nchini , hata majuzi ilitangazwa kabisa kuwa amerudishwa nyumbani apangiwe kazi nyingine lakini huyo huyo jana kaonekana anawapeleka ujumbe wa TFF na waziri wa michezo makao makuu ya CAF

Kulikuwa na haja gani ya kutangaza kumrudisha kama muda bado , ikumbukwe kuwa aliporudi nchini baada ya kuwa “exciled” na Magufuli yeye na Afisa Mombo ilitegemea angebaki nchini hata kupumzika ikizingatiwa pia kuwa alikuwa kamaliza kumzika Baba yake lakini ghafla hata kabla ya mwezi akakimbiziwa Egypt Bila hata kutangazwa na bila hata kuambiwa Balozi Maj Gen Bahati amerudishwa.

NADHANI washauri kuwa makini mnajikuta mnaliingiza taifa kwenye gharama kubwa bila sababu. Mabalozi walio mtaani wanaosubiri kupangiwa vituo wamekuwa wengi sana ..wote hao pale tu wanapotangazwa wanalipwa mishahara na stahiki za ubalozi.
Mkuu uko sahihi kabisa.
Miaka ya nyuma ilikuwa si rahisi mtu kuwa balozi bila kuanzia ngazi za chini Wizara ya Mambo ya nje, na kupandishwa madaraja kufuatana na Scheme of service yao, hadi unafikia hadhi ya ubalozi.
Ilikuwa inachukua muda, lakini mtu akifikia hadhi ya ubalozi anakuwa ameiva haswa.

Sasa hivi mtu anateuliwa balozi, ndiyo anapelekwa chuo Cha International Relations kupigwa msasa! Mambo ya ajabu kabisa.
 
Katika miaka ya karibuni ukianzia utawala wa Magufuli hadi sasa , tukianza kuorodhesha kuna watanzania wengi sana wameteuliwa kuwa Mabalozi na wapo wengi tu ambao wameteuliwa na hawajawahi hata kupangiwa vituo vya kazi , hii ni kuwaumiza watanzania kwani hizo hadhi zinatolewa kama zawadi au adhabu au kuwaondoa watu nchini …na sio sifa halisi za kusaidia nchi yetu.

Hata kwenye uteuzi wa juzi tu kuna ambao walikuwa wameapa kama mabalozi na hata kabla hawajapangiwa vituo wanapangiwa kazi zingine, kuna wengine wameteuliwa ubalozi wamekaa nje miaka hata miwili haijafika wanarudi nchini, hizo zote gharama za kuwasafirisha na familia zao na mambo mengine ni za watanzania na kuishia kurudishwa nchini hata kabla mikataba yao haijaisha hii sasa inaondoa HADHI ya cheo cha UBALOZI wamekua wengi sasa kama wa NYUMBA KUMI KUMI.

Kuna wengine kama Balozi Nchimbi yeye anakuwa victims wa siasa muda wote kuna wenzake hawataki arudi nchini , hata majuzi ilitangazwa kabisa kuwa amerudishwa nyumbani apangiwe kazi nyingine lakini huyo huyo jana kaonekana anawapeleka ujumbe wa TFF na waziri wa michezo makao makuu ya CAF

Kulikuwa na haja gani ya kutangaza kumrudisha kama muda bado , ikumbukwe kuwa aliporudi nchini baada ya kuwa “exciled” na Magufuli yeye na Afisa Mombo ilitegemea angebaki nchini hata kupumzika ikizingatiwa pia kuwa alikuwa kamaliza kumzika Baba yake lakini ghafla hata kabla ya mwezi akakimbiziwa Egypt Bila hata kutangazwa na bila hata kuambiwa Balozi Maj Gen Bahati amerudishwa.

NADHANI washauri kuwa makini mnajikuta mnaliingiza taifa kwenye gharama kubwa bila sababu. Mabalozi walio mtaani wanaosubiri kupangiwa vituo wamekuwa wengi sana ..wote hao pale tu wanapotangazwa wanalipwa mishahara na stahiki za ubalozi.
Ikulu imegeuka kitu cha ajabu chini ya kilaza mrembuaji!
 
Mtu anapewa ubalozi na anafanya kazi kwenye private sector, na anaambiwa aendelee na kazi yake kwanza.
 
Ndio maana katiba mpya inatakiwa kupunguza huu mzigo kwa rais , there just too much in her plate …na matokeo yake kama ana wasaidizi wabaya watakuwa wanachomeka majina tu …anasaini….
Hizi nafasi mfano balozi akishateuliwa basi aende bungeni kamati ya ulinzi na mambo ya nje ….ahojiwe kwa uwazi kabisa ….kabla ya kutangazwa rasmi na kuapishwa …..nchin za wenzetu kila nafasi ya teuzi lazima iidhinishwe na bunge .
Na nafasi nyingine zote muhimu …….
Miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru ni umri wa mtu mzima, lakini si hivyo kwa nchi yetu matendo ambayo serikali inafanya ni kama nchi iko under 20 zama hizi za leo bado unateua mtu bila kuhojiwa kama kazi unayotaka kumpa ataiweza????? its peculiar!
 
Katika miaka ya karibuni ukianzia utawala wa Magufuli hadi sasa, tukianza kuorodhesha kuna Watanzania wengi sana wameteuliwa kuwa Mabalozi na wapo wengi tu ambao wameteuliwa na hawajawahi hata kupangiwa vituo vya kazi, hii ni kuwaumiza watanzania kwani hizo hadhi zinatolewa kama zawadi au adhabu au kuwaondoa watu nchini na sio sifa halisi za kusaidia nchi yetu.

Hata kwenye uteuzi wa juzi tu kuna ambao walikuwa wameapa kama mabalozi na hata kabla hawajapangiwa vituo wanapangiwa kazi zingine, kuna wengine wameteuliwa ubalozi wamekaa nje miaka hata miwili haijafika wanarudi nchini, hizo zote gharama za kuwasafirisha na familia zao na mambo mengine ni za watanzania na kuishia kurudishwa nchini hata kabla mikataba yao haijaisha hii sasa inaondoa HADHI ya cheo cha UBALOZI wamekua wengi sasa kama wa NYUMBA KUMI KUMI.

Kuna wengine kama Balozi Nchimbi yeye anakuwa victims wa siasa muda wote kuna wenzake hawataki arudi nchini, hata majuzi ilitangazwa kabisa kuwa amerudishwa nyumbani apangiwe kazi nyingine lakini huyo huyo jana kaonekana anawapeleka ujumbe wa TFF na waziri wa michezo makao makuu ya CAF

Kulikuwa na haja gani ya kutangaza kumrudisha kama muda bado , ikumbukwe kuwa aliporudi nchini baada ya kuwa “exciled” na Magufuli yeye na Afisa Mombo ilitegemea angebaki nchini hata kupumzika ikizingatiwa pia kuwa alikuwa kamaliza kumzika Baba yake lakini ghafla hata kabla ya mwezi akakimbiziwa Egypt Bila hata kutangazwa na bila hata kuambiwa Balozi Maj Gen Bahati amerudishwa.

NADHANI washauri kuwa makini mnajikuta mnaliingiza taifa kwenye gharama kubwa bila sababu. Mabalozi walio mtaani wanaosubiri kupangiwa vituo wamekuwa wengi sana ..wote hao pale tu wanapotangazwa wanalipwa mishahara na stahiki za ubalozi.
Kwanza hao wanaofanya vetting,wao huwa nani anwafanyia vetting na kisha kuwafuatilia kama wanafanya kazi yao sawasawa!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom