Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Haaaaa! Nimependa kauli yako ya mtu hatakiwi kuomba msamaha kwa matendo aliyotenda akiwa timamu.Mara nimeachana na siasa mara mpaka hapo nitakapoona inafaa kufanywa vinginevyo.
Huyu bado hajaachana na siasa,anapima upepo tu ukiwa sawa atarudi tena majukwaani kupitia chama kingine cha siasa.
Hakuna unafiki mkubwa kama kuomba msamaha kwa matendo uliyoyafanya ukiwa na akili zako timamu.
Hakika sitokusamehe Mchange kwa matusi uliyomtukana Mzee wangu Lowassa.
Nimekumbuka wakati wa kampeni nilikuwa Kigoma Mchange alipopanda jukwaani akasema chadema wametuletea mtu hawezi hata kushika maiki.
Zitto kwa busara zake akasimama akamnyanganya maiki akasema afya in majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Nadhani Mchange ndio alikuwa kampeni meneja wa Anna