Habibu Mchange aikacha ACT-wazalendo na kuachana na siasa

kuna watu wanatakiwa wajifunze kwa Ndg Mchange na watu hawa ni Hawa wafuatao.

1 LIZABON
2 WAKUDADAVUWA
3 TATA MADIBA
4 BARBOSA

Hawa vijana hawajui ni nini Maana ya siasa.

Hivyo kutokujua kwao upelekea Kutukana watu, majungu, fitina, umbea umbea, na uzabi zabina.

Jirekebisheni wandugu siasa ni utamaduni wa kupelekea Maendeleo kwenye Taifa.

Siasa siyo kama mnavyofikiri kama kutukana watu.

Sisi tuliokulia Azimio la Arusha Tulifunzwa vizuri sana tukiwa Mashuleni ndiyo maana kulikuwa na somo la siasa Mashuleni ili kutupa mwanga wa siasa ni nini.

Tofauti na sasa watu wanadhani siasa ni Majungu, umbea, chuki na Uzabi zabina.

Na hii ndiyo imepelekea taifa kutokupiga Maendeleo kutokana na Siasa Chafu za kuchafuana gilba na kukomoana.

Hapa niseme wazi kabisa chama cha mapinduzi mtubu dhambi hii.

Mmepoteza viongozi wengi wazuri Ambao wamekosa nafasi za uongozi kutokana na Fitina, umbea, majungu yaliyopo ndani ya chama.

Mimi na Amini kabisa ndani ya TANU na ASP kama kungekuwa na Watu wenye Gilba Uzandiki na umbea.

Basi Mwalimu JK Nyerere na Ndg Karume wasingekuwa Viongozi na kutukomboa kutoka kwenye mikono ya wakoloni.

Hapa niseme wazi kabisa hata Ndugu Rais Mh Magufuli.

Angejitambulisha mapema kwamba anajipanga kugombea nafasi hiyo leo Hasingekuwa Rais wa nchi hii.

Angetengenezewa Figisu Figisu na kufurushiwa kwa matuhuma lukuki ya Umbea na Uzandiki na Ange usikia Urais kwenye Bomba.

Nayasema haya kutokana kwamba nilikuwa ndani ya chama hiki najua michezo yote ya wanachama maslai wanavyokiangamiza chama hiki kwa kuangamiza wenzao kisiasa.

Kama siasa ingekuwa safi mimi nakiri kabisa nchi hii ingekuwa inapaa kimaendeleo na sio kutembea mwendo wa kinyonga.
Unataka wajifunze nini kwa Mchange mbona hata yeye mdomo ulikuwa unatapika uchafu kama shimo la choo.
 
Walifikiri kuwa upinzani ni mchezo mchezo eeeh hasa chama dola kinapotumia kila mbinu ovu kuwanyanyasa, kwanza mwaka Jana walijifanya upinzani wa kutukana wapinzani wenzao badala ya Ku deal na chama dola. I do believe chama vilivosimama mfano ka CuF wengi tu walikufa wakikipigania chama hasa 2000s, ndo maana nikimwona lipumba ayafanyayo kwa CUF hushangaa sana. Na had Magufuli amalize mda wake siasa zitakuwa hazina deal kabisa zitafanywa na wazalendo wa kweli na sio wachumia tumbo. Mchange nikupongeze kuomba msamaha maana matusi yenu mwaka Jana loh naona dhamira yakusuta
 
Habibu buana....nilikutabilia haya mambo tangu dalili za kufeli kwako elimu ya chuo na ku-disco zilipoanza. Najua tutakutana nitakukumbusha kauli yangu hii. Pole sana rafiki yangu. Nimeumia kuona umeambulia machozi yasiyo ya lazima cha ajabu ndo kwanza unataka uanze maisha....shule yenyewe ndo hiyo uliifanyia utakavyo ikakutenda.........kitumie vema hicho cheti chako cha fomu sita labda kitakusaidia.

maneno mazito
 
Nimeupenda utawala wa Magufuli maana umeweza kufanya tuwajue wanasiasa wa Upinzani wanaojifanya wapinzani kumbe wanasaka Ugali wasaka tonge.Wanasiasa wanaobaki kwenye gemu sasa hivi ndo wapinzani halisi.Kaza kaza baba tuone magugu yanavojitenga tubakiwe na ngano tu
2020 wengi hawataonga ubunge ka mwaka Jana hadi kupugana marungu maana ulikuwa ukiingia ubunge kuna full marupurupu sana. Sasa watabaki wazalendo wa kweli.
 
Mchange laana ya kuuza ubunge kibaha inakutesa..pole sana kijana..hukumjua Zito, muulize kitila mkumbo.! Zito ndo ajue uongozi ni kazi sana. Chama kidogo kimemshinda je angekuwa mwenyekiti chadema angeweza..pole zito, poleni sana chama mufulisi
Huyo Zito I do believe alikuwa anatumiwa na wasingemshtukia Leo tungesema mengine, upinzani nchi hii ni msalaba mzito hasa shuruba za kutoka chama dola walah
 
Unataka wajifunze nini kwa Mchange mbona hata yeye mdomo ulikuwa unatapika uchafu kama shimo la choo.
mkuu kama ungeushirikisha Ubongo vizuri ungetambua kwamba nimelenga kote kote Mkuu.

Kwamba tujifunze siasa siyo uadui, siasa ni falsafa ya kuelekea kwenye maendeleo.

Ila kwetu Hasa Africa siasa inatumika vibaya na wengi hawajui siasa ni nini.

Hivyo uishisa kutukana watu, kurushiana tuhuma, fitina umbea na uzabi zabina.
 
Zitto alikuwa na matumaini makubwa ya kurudi kuwa mwenyekiti wa PAC ili aendeleze dili zake na Dau. Magufuli kwa vile anazijua dili zao amekata huo mrija.

Zitto kwa sasa anategemea kuendesha maisha yake kwa kutegemea mshahara pekee wa ubunge kwa sababu posho nazo kwa nyodo zake alizikataa!

ACT-WAZALENDO haina ruzuku ya kutosha kuendesha chama kichanga. Vijana km hawa akina mchange waliokuwa wanapewa pesa za bure na zitto,hawawezi kubaki hivi sasa. Huyu kwa vyovyote ataenda ccm na kwa elimu yake hii ya kuungaunga hata huko atasaga meno..!!
 
Mjumbe WA mkutano Mkuu sina hata Gari? Hata ningekuwa mm ningeacha siasa
Aisee inatia huruma sana, kuna day nilipishana nae Mchange maeneo ya lumumba karbu na ofisi za ccm, kwa jins nilivyo muona ziwez shangaa haya maamuz yake
 
Back
Top Bottom