TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Kama ambavyo huna haya kufuatana na FISADI LOWASSA, siku akienda ACT-WAZALENDO utakuwa naye huko. Wewe hakuwa CCM bali ulikuwa kwa LOWASSA na hata leo hauko CHADEMA bali kwa LOWASSA, hiyo ndiyo njaa kuu, ya kumlamba mtu viatuHuyu ameamua kujisalimisha CCM. Wanaanzaga hivi hivi..!