K kutoka-uswazi New Member Jul 4, 2012 2 0 Jul 4, 2012 #1 Habari zenu wanajamii wote!naomba mnipokee pia nategemea muongozo wenu jinsi yakushiliki kwenye mijadala mbalimbali
Habari zenu wanajamii wote!naomba mnipokee pia nategemea muongozo wenu jinsi yakushiliki kwenye mijadala mbalimbali
BAGAH JF-Expert Member Jan 17, 2012 4,523 1,060 Jul 4, 2012 #2 karibu sana sana!!..ila tabia za kiswazi marufuku.
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,823 Jul 4, 2012 #3 karibu ila tabia za kiswazi huko huko. mwone BAGAH ulipie utambulisho. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 Jul 4, 2012 #4 Karibu chai na karoti nahisi utakuwa unauzoefu nacho
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,985 93,997 Jul 5, 2012 #6 karibu mjini...hapa ndio JF, kuna mitaa mingi sana kama MMU, Chit Chat, Hoja Mchanganyiko n.k hakikisha tu haupotei
karibu mjini...hapa ndio JF, kuna mitaa mingi sana kama MMU, Chit Chat, Hoja Mchanganyiko n.k hakikisha tu haupotei
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Jul 5, 2012 #8 BAGAH said: karibu sana sana!!..ila tabia za kiswazi marufuku. Click to expand... Wewe BAGAH umeacha tabia za uswazi?? Mfundishe basi tabia za humu ndani mgeni pia usisahau kumpeleka kule chit chat. kutoka-uswazi pita ndani. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BAGAH said: karibu sana sana!!..ila tabia za kiswazi marufuku. Click to expand... Wewe BAGAH umeacha tabia za uswazi?? Mfundishe basi tabia za humu ndani mgeni pia usisahau kumpeleka kule chit chat. kutoka-uswazi pita ndani.
princess enny JF-Expert Member May 27, 2012 1,038 379 Jul 5, 2012 #9 karibu jamvini!!!!!!! njoo kwenye group la waswaz tundeleze uswaili mwaya