Mkuki kwa nguruwe,kwa binadam uchungu
Katika kipindi chake cha jahazi leo jioni, Ephraim Kibonde amesema habari zinazoandikwa na magazeti ya kwamba kuna watu wamekwenda Afrika Kusini kwa lengo la kumdhuru Dk.Ulimboka na habari za vitisho wanavyopewa viongozi wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) ni habari za kutungwa, na vyombo vya habari vinatakiwa kuthibitisha habari hizo kabla ya kuandika. mfano akasema habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 10 july 2012 ni habari ya kutungwa.
Naona huyu jamaa anazungumza upuuzi kama wa Stella Manyanya.
Kibonde najaribu kujua anafanana nani sipati jibu yote nimemwachia mungu lamsingi nimefanya kama chombo chakunitoa stress basi lakini hana chakuonge ukakaa na kumsikiliza!!Kwakuwa na Media aliyopo ni kwamba haizingatii maadili ya utangazaji....wanachozingatia ni kama unajua kubwabwaja basi!
Ngoja nijaribu kukuchorea hapa (what he could be like) kama itakusaidia: Kakichwa kadogo, vimacho vidogo, vimasikio vidogo na limdomo hilo... Got it?
Katika kipindi chake cha jahazi leo jioni, Ephraim Kibonde amesema habari zinazoandikwa na magazeti ya kwamba kuna watu wamekwenda Afrika Kusini kwa lengo la kumdhuru Dk.Ulimboka na habari za vitisho wanavyopewa viongozi wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) ni habari za kutungwa, na vyombo vya habari vinatakiwa kuthibitisha habari hizo kabla ya kuandika. mfano akasema habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 10 july 2012 ni habari ya kutungwa.
Naona huyu jamaa anazungumza upuuzi kama wa Stella Manyanya.
Magamba ndio wanamsaidia kununua ARV zakeKatika kipindi chake cha jahazi leo jioni, Ephraim Kibonde amesema habari zinazoandikwa na magazeti ya kwamba kuna watu wamekwenda Afrika Kusini kwa lengo la kumdhuru Dk.Ulimboka na habari za vitisho wanavyopewa viongozi wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) ni habari za kutungwa, na vyombo vya habari vinatakiwa kuthibitisha habari hizo kabla ya kuandika. mfano akasema habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe 10 july 2012 ni habari ya kutungwa.
Naona huyu jamaa anazungumza upuuzi kama wa Stella Manyanya.
Mi simlaumu sana Kibonde, i think he is making his life from the system ya sasa, no mater how smal it is. Clouds fm i hv hando n Anold. Hando with the orientation of the radio yet u can feel sences. Kayanda not details much bt u can get something also, he is always neutral. Kibonde, not detailed, skewed, dominant on things he doesnt kno.
Mzee wa porojo na misifa.
Hivi Kwani Kibonde ni mwandishi wa habari?? Kibonde ni muongea habari tuu.