Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
I beg to differ hapo kwenye red. Uzinzi uko kwenye ndoa peke yake. Nje ya ndoa hakuna uzinzi bali kuna uasherati.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mzinzi na muasherati.
Wakuu hapa nadhani mnaongelea 'adultery' na 'fornication'. Kwa wenye imani za dini ni kweli kuna tofauti.