lindz
Member
- Apr 29, 2012
- 38
- 8
mbona unamtisha watu jaman................kila m2 na iman yake na usichoshe watuwala haiko hivyo...mimi sikuwepo hapo, lakini nimefagilia sana walivyofanya, kusema kweli nimepigiwa simu na kuambiwa yaliyotokea kwasababu mimi siko hapo bongo,,na nimefurahi sana. kama niko bongo, saa hizi ni saa nane na nusu usiku kwa saa za Dsm, nani yuko macho kwenye computer sasahivi Dar?...
unaposema nitalala nje na familia yangu, kwasababu gani? unajua kuna swali moja nilikuuliza ile majuzi kuwa "how old are you", kwasababu inaonyesha bado umri wako ni mdogo na ninaogopa kufupisha fikra zangu kujibizana na mtoto mdogo.....I wish you knew me, lakini bahati mbaya you will never know me kwasababu hapa tunatumia majina bandia...ila, nafikiri wa kulala nje ni wewe. hata kama siko miongoni mwao, I appreciate what they do, and siwezi kubisha kuwa, kile wanachofanya na mimi kimenifanya hadi nikawepo hapa kwenye nafasi niliyonayo, ambayo ni ya hali ya juu sana...nashukuru Mungu. ila nawaonea huruma watu walio mbali na upeo kama ngoshwe, kwasababu siku zote huwa wanapinga mambo ya Mungu, kwasababu tu wao ni wakatoliki.....wewe ndo utafilisika na si mimi...tupinge ndani ya miaka hii mitano nani kati yangu mimi na wewe atafisilika...you will remember these words...!!!!!!!!!!!!!