Wachungaji wana tabia chafu za kuwatumikisha waamini wao, akiwa maarufu kidogo tu ni shida, hata mkewe nyumbani hafanyi tena kazi.,kutwa waumini wanampikia, wanamlimia mashamba.[eeeh... baba mchungaji/mama mchungaji] wametekwa akili zao zote. Huu sio uungwana wachungaji acheni makuu !!?