Guys; Don't take girls too serious...

Kwanza nianze kwa kutahadharisha kuwa kwa thread hii sina nia ya kuwa-abuse wanawake, wala kuwavunjia heshima.

Nawapa somo wanaume wenzangu out there ambapo mara kwa mara nawasikia na wengine wamejitokeza hapa kuomba ushauri jinsi ya 'kuwatongoza' wanawake fulani. Mbinu mojawapo na rahisi ni kuwa 'Don't take them too serious'. I am talking from experience since nianze ishu za mapenzi takribani miaka 20 iliyopita.

Tatizo kubwa la baadhi ya wanaume wanawachukulia wanawake siriaz mno. Tangu nikiwa shuleni, nilikuwa nashuhudia baadhi ya wanaume waliokuwa wana 'waheshimu' mademu zao kupita kiasi. Hawa ni wanaume ambao siku zote ilikuwa ngumu sana kuongelea ngono na mademu wao, kwa hofu kuwa watawauzi, au wataonekena players. Hata hivyo hawa ndo wanaume siku zote walokuwa wakiishia kuitwa 'washika pembe' baada ya mademu zao kuwa wanakuja kumegwa na wanaoonekana maplayers.

Unaweza kutazama katika jamii unayoishi au ulowahai kuishi, utaona kuwa wanawake wazuri sana huwa wanachukuliwa na wanaume wahuni wahuni hivi... why?

Kosa moja linalofanywa na hawa wanaume wanaojifanya ma-lover boys wenye heshima, ni kuwa wanaamini kuwa kwa cares wanazotoa, au kwa ukarimu, upole na heshima ya hali ya juu, then ipo siku msichana atawavulia mwenyewe. Utakuta mwanaume yupo beneti sana na demu wake, wanasoma, au kustorisha pamoja, wanaenda kwenye nyumba za ibada pamoja, lakini haoni ndani, na ikitokea siku kapewa, basi huyo dada anataka tu kumshikishia mimba isiyo yake aloipa kwa jamaa mwingine huko...

Point yangu hapa ni moja tu, kuwa mwanaume usiogope kuongelea ngono kwa mwanamke unayempenda. Usiogope ulokole wake, au yeye mtoto wa shehe, au nini, kama unampenda na unataka we ongea, ongelea maungo yenu ya ndani, hata kama mwanzoni atajifanya anakereka, lakini usiogope. Usishangae we unakaa kimya then unajakuta demu wako anamegwa kirahisi mno. Sihamasishi ngono haramu, bali najua asilimia kubwa ya wanaume walio kwenye mahusiano, wanataka wafanye ngono na wapenzia wao hata 'kwa shetani kuwapitia'. Lakini wengi wa wale wanaoshindwa, ni kwa sababu ya 'kujiheshimu' kupita kiasi.

Wanawake wengi fahamu zao zinawaongoza wasifanye ngono kabla ya ndoa, lakini wengi wanashawishika kwa maneno, na hisia za miili yao, na stori za marafiki zao. Kwa hiyo kama sio wewe utakayemshawishi demu wako m-duu, then atashawishiwa na lijamaa lingine lililo karibu nae, na lenye utani 'usio na heshima', kila mara lamsifia na kumwambia wazi kuwa mi ningefurahi tu***.

Hivi hamjiulizi kuwa hata mnapokubaliana, mwanamke ukienda nae chumbani kwa mara ya kwanza, lazima aonyeshe aibu fulani, kuvua, kuromance n.k lazima u-initiate? Hiyo ina maana kuwa mwanamke atajisikia free zaidi kumvulia mtu ambaye haonei aibu sana uch.i ama ngono, mtu ambaye hivyo vitu anaviongea sawa na anaomba soda. Lakini wale wenzangu na mimi mnaoanza kusema ...eeee, unajua, eee mungu aliumba viungo tofauti... tihi tihi ili vingine vigusane.... eee unajua dada nanihii natamani nanihii zetu zigusane... eeee jana usiku niliota tuko watupu, sasa sijui eeee... nitakwambia baadae kwenye msg....
Ukianza kusema eee eee... anakwambia 'we, hebu acha kuongea mambo hayo, unajua Mungu hapendi, anakuchimba mkwara, unaishia kusema, sore dada, nilikuwa nakutania tu. Kamwe hutapata na siku ukipata ujue keshamegwa huko anahofu isiwe kapata mimba anataka kukusingizia.

Manage your woman and have control over her (in terms of sex). Be pro-active and always Do not take sex as an abuse to woman (but if not authorized, it a sin to GOD and God only). Na usishangae unavyoogopa ogopa, siku ya siku akikupa 'Amdala kichwa wazi' akalala fofofo... Ohooo...

Aisee usemayo ni ukweli mtupu tena sana. Wanaume wajanjawajanja ndiyo wamegaji wakubwa wa mabinti tena mabinti wa haja usioweza hata kufikiria.
 
Hivi hawa watoto wa dot com ch*pi mkononi kuna haja ya hizi stori ndefu kweli. Leo mi ukiniambia mtu haoni ndani eti sababu anamuonea aibu demu(sorry D na wengine) wake nitashangaa sana. Kwanza siku hizi totoz zinakuimbisha wewe.

Totozi hizo safi zinamake life cheap. Si unajua ukijifanya true boy itakucost time...babaa.,matokeo yake roho yako inakuwa chumba cha mtihani.
 
Back
Top Bottom