Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,113
Shalom,
Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.
Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.
Kitu Cha ajabu kabisa unakuta unatoka na demu hata mara 3 au 5 na unapiga shoo kimtelezo ila anakuwa yuko radhi kuachana na anaweza asikutafute hata miezi 6 na hapo umemla shoo mtelezo awamu zote na akaaishie hivo usipomtafuta na yeye hakutafuti.
Kinyume chake asili ya mwanamke ukishamla anataka muendelezo ila sasa ajabu nyakati hizi demu unamla utadhani anakuja kwenye shoo akiwa kameza dawa za ganzi.
Sijaelewa nimebaki na viulizo ila ukimtaka tena anakuja. hii ni fumbo kubwa sana yaani mademu nao wanaweza kupotezea kama wanaume imekaaje hii?
Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.
Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.
Kitu Cha ajabu kabisa unakuta unatoka na demu hata mara 3 au 5 na unapiga shoo kimtelezo ila anakuwa yuko radhi kuachana na anaweza asikutafute hata miezi 6 na hapo umemla shoo mtelezo awamu zote na akaaishie hivo usipomtafuta na yeye hakutafuti.
Kinyume chake asili ya mwanamke ukishamla anataka muendelezo ila sasa ajabu nyakati hizi demu unamla utadhani anakuja kwenye shoo akiwa kameza dawa za ganzi.
Sijaelewa nimebaki na viulizo ila ukimtaka tena anakuja. hii ni fumbo kubwa sana yaani mademu nao wanaweza kupotezea kama wanaume imekaaje hii?