JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa sasa.
Geoff vipi mipango inaendeleaje????
Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????
Xspin i love you so much brother
Kaizer thank God you are my friend
Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..
JS
Geoff vipi mipango inaendeleaje????
Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????
Xspin i love you so much brother
Kaizer thank God you are my friend
Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..
JS