Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Mwanakijiji Thanks kwa kulileta hili suala.
Hata mimi nilipokuwa Tanzania, nilishajiuliza mara Nyingi, mbona Pesa ninayoweka inakwenda haraka kuliko wanavyotangaza Maredioni kuhusus gharama kwa sekunde?, nikafanya kautafiti kidogo kwa kufanya timing ya muda ninaotumia ili nicalculate gharama halisi(simu yangu ina stopwatch)!, nikaona kuwa nyakati nyingine inakuwa chini nyakati nyingine inakuwa juu hata katika nyakati zile ambazo wanatangaza kuna upungufu wa Gharama, lakini cha aajabu siku nyingine nikifanya mahesabu sioni kupunguziwa Gharama zozote.
Pia nikaja kugundua kwamba wanapowatangazia Wananchi kuhusu gharama kwa sekunde n.k kwenye Redio na TV , vyombo vinavyowafikia wengi zaidi, hawatangazi kwamba VAT included, ila wanapoweka maelezo kwenye Website zao na mabango ndo wanasema VAT included.
Hata mimi nilipokuwa Tanzania, nilishajiuliza mara Nyingi, mbona Pesa ninayoweka inakwenda haraka kuliko wanavyotangaza Maredioni kuhusus gharama kwa sekunde?, nikafanya kautafiti kidogo kwa kufanya timing ya muda ninaotumia ili nicalculate gharama halisi(simu yangu ina stopwatch)!, nikaona kuwa nyakati nyingine inakuwa chini nyakati nyingine inakuwa juu hata katika nyakati zile ambazo wanatangaza kuna upungufu wa Gharama, lakini cha aajabu siku nyingine nikifanya mahesabu sioni kupunguziwa Gharama zozote.
Pia nikaja kugundua kwamba wanapowatangazia Wananchi kuhusu gharama kwa sekunde n.k kwenye Redio na TV , vyombo vinavyowafikia wengi zaidi, hawatangazi kwamba VAT included, ila wanapoweka maelezo kwenye Website zao na mabango ndo wanasema VAT included.