Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Kagera tuna bahati mbaya maana jioni hii nimesikia gamba jingine Jason Rweikiza likisema uongo kwamba limezunguka katika vijiji vyote vya jimbo lake kuchukua maoni ya wapigara kura wake. Ni aibu sana Bkb na Buhaya kuwa na wabunge waongo na wanafiki. Tusifanye makosa uchaguzi ujao hata kama Kanali Masawe atakua bado yupo Kagera.
shiiiiiti!! Huyu jamaa kapita saa ngapi kukusanya maoni!?. mwanzo bibi na babu zangu walionekana kumwamini kumbe ni zuzu,nasikia anawahadaa wananchi eti umeme kaupeleka yeye kule vijijini..huyu anatudhalilisha sana,hv bukoba tumelogwa?