Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #41
asante bebii..si utakuwepo?hongera kaka
asante bebii..si utakuwepo?hongera kaka
\karibu MMU where we dare talk openly and still love one another
Hebu wasiliana na AshaD na Asprin wakupe oriientation ya upendo
wivu ni kitu kibaya sanawengi mtapinga lakini ndiyo ukweli. Wanaoona toka humu nawapa pole nyingi! Wajiandae kwa heart attack! Yangu macho.
Caro sema kile kitufe cha thanks naona wamekitoa ..Wengi mtapinga lakini ndiyo ukweli. wanaoona toka humu nawapa pole nyingi! wajiandae kwa heart attack! yangu macho.
kama ukinipa card nitakuja na nanihiiiiiiasante bebii..si utakuwepo?
Wengi mtapinga lakini ndiyo ukweli. wanaoona toka humu nawapa pole nyingi! wajiandae kwa heart attack! yangu macho.
kwani caro kafanyweje hus maana wengi tushainvest hukucarol unataka kuniambia ndoa yangu na................... Haitodumu?
Mkuu ungetaja jina la bihalusi. Tusje tukaingiliana kwenye makoloni.
Kama yuko katika koloni langu, jibaba jiandae na BAN.
khaaaa wapambe nuksi tena?mkuu ungetaja jina la bihalusi. Tusje tukaingiliana kwenye makoloni.
Kama yuko katika koloni langu, jibaba jiandae na ban.
kadi lazima upate ..unataka kuja na nani vile...?wewe si nimeona kule kwenye thread ya jamaa anayeuliza ummri wa kuoa kuwa upo single...kama ukinipa card nitakuja na nanihiiiiii
SI nakutakia kila la kheri lakini nilikuwa na doubt kuhusu JF kutoa ndoa zaidi ya 100+ ikabidi niulize ukimkwarua mwanaJF mwenzako utakuwa umefunga ndoa? Usiniulize kukwarua ni nini? Tehe tehe tehe tehe tehe.hapa siongei mahusiano ya kuandikiana meseji hapa JF naongelea in really life ...
naona roho za watu zipo juu sana ..hahahhahhaha....wivu ni kitu kibaya sana
Ndio na mimi nilikua nashangaa, hivi ndoa yakwanza maana yake nini? ye anajuaje ni yakwanza? wengine wamezaa na watoto humu humu. lolHongera sana SI
But mbona wengine tayari tunazo ndoa nyingi hapa??
Yako itakuwa ya 100+
kwani una undugu na PAW? hahhah tuambizaneMkuu ungetaja jina la bihalusi. Tusje tukaingiliana kwenye makoloni.
Kama yuko katika koloni langu, jibaba jiandae na BAN.
kwani caro kafanyweje hus maana wengi tushainvest huku
Kwani kidogo,khaaaa wapambe nuksi tena?
Anaitwa Mwajuma Husninyo Kandambili
kwani yako ni tar ngapi maana hapa katikati naweza kuwa nimetembelewa si unajua tenakadi lazima upate ..unataka kuja na nani vile...?wewe si nimeona kule kwenye thread ya jamaa anayeuliza ummri wa kuoa kuwa upo single...