ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
hii itakuwa ya wana JF amboa wapo willing bila kuangalia mitizamo yao ya kisiasa
kwani siasa na malovee viko pamoja?
hii itakuwa ya wana JF amboa wapo willing bila kuangalia mitizamo yao ya kisiasa
havipo pamoja mkuu...ngoja nikupe mfano mmoja ..kwani siasa na malovee viko pamoja?
Labda tafsiri ya ndoa imeanza kuwa tata, niulize hivi ukiwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanJF hiyo nayo ni ndoa? Kama kwa tafsiri hiyo nakubali ndoa za JF zitazidi mia +ndo nyingi kivipi? mbona hatukualikana mkuu...?au kimya kimya
hahhahaha...soma signature yake kwanzaMshikaji na wewe mdaku, nipe mji nikutajie basi kama hujui au umesahau tehe tehe tehe.
haLabda tafsiri ya ndoa imeanza kuwa tata, niulize hivi ukiwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanJF hiyo nayo ni ndoa? Kama kwa tafsiri hiyo nakubali ndoa za JF zitazidi mia +
havipo pamoja mkuu...ngoja nikupe mfano mmoja ..
sugu vs shyrose bhanji
Kimya kimya mkuu!ndo nyingi kivipi? mbona hatukualikana mkuu...?au kimya kimya
asante sana mamito...mtapata updates zote ambaye atakuwa willing and able ..he/she can joinKila la heri Saint.......
ahhahhahhahah...Rejao ...hahha...umeniacha hoi mkuu ..kumbe ndio hivyo...sasa mimi nataka kufanya publicKimya kimya mkuu!
JF pana sana..memberz ni wengi na almost wote ni waelewa! Ukiwa serious unajibebea tu!
pamoja sana kamandakumbe kiivo basi poa mi na subiri mizao yenu..
All the best kaka..hakikisha unamtafuta AshaDii akufunde!!ahhahhahhahah...Rejao ...hahha...umeniacha hoi mkuu ..kumbe ndio hivyo...sasa mimi nataka kufanya public
All the best kaka..hakikisha unamtafuta AshaDii akufunde!!
haaa..Asha D anafunda vitu gani tena ..nipo interested..mimi ndio natakiwa nifundwe au mamaa?All the best kaka..hakikisha unamtafuta AshaDii akufunde!!
mkuu wangu Ndetichia bora umeona na wewe hii kitu ..sijuia jamaa anatafuta nini ...ngoja nimuulize ..yeye kafundwa na Asha D?we rejao kuna kitu unamtafuta huyu mtakatifu..
karibu MMU where we dare talk openly and still love one anotherDude you are lost.Marriage? think something else.