Good news for JF members especially MMU

Labda tafsiri ya ndoa imeanza kuwa tata, niulize hivi ukiwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanJF hiyo nayo ni ndoa? Kama kwa tafsiri hiyo nakubali ndoa za JF zitazidi mia +
ha
pa siongei mahusiano ya kuandikiana meseji hapa JF naongelea in really life ...
 
Kimya kimya mkuu!
JF pana sana..memberz ni wengi na almost wote ni waelewa! Ukiwa serious unajibebea tu!
ahhahhahhahah...Rejao ...hahha...umeniacha hoi mkuu ..kumbe ndio hivyo...sasa mimi nataka kufanya public
 
Dude you are lost.Marriage? think something else.
karibu MMU where we dare talk openly and still love one another

Hebu wasiliana na AshaD na Asprin wakupe oriientation ya upendo......... IT CAN BE DONE, IT IS DONE, AND WILL ALWAYS BE DONE
 
Back
Top Bottom