Asante sana mkuu wangu Bubu Ataka Kusema....inabidi tukimbizane na umriHongera sana Mkuu. Hapa kuna Wanawake na Wanaume wa maana tu na kwa maoni yangu hii itakuwa ni mwanzo wa ndoa nyingi zitakazotokea hapa JF kwa miaka mingi ijayo. Kila la heri.
Mimi ni zaidi ya PAW, kazi yangu ni kuedit na ku updeti sheria za JF kila wikiendi.
Nilijua tu.......Duuuuh, haya bana...
Haya mkuu renal nimekupata ..... Najua nijibu Kama wewe ndio Kila siku hapa JF lazima litumie wasi hana Kama kumi PM hapa JF ... hive haya majina watu wanayotumia hapa wewe inakuaje kuwa ni wasichana?Kuna silent killerz humu!!
Ukimwacha tu humu lazima usaidiwe. Power ya PM ni kubwa sana!
Nilijua tu.......
Haya...!una.....
"in god we trust"katika siku zijazo ..na na uwepo wa jf hapa duniani ..itafungwa ndoa ya kwanza ya wana jf kati ya si na ...........(anajijua) hio ndoa/arusi /sherehe) haitawaweka wana jf pembeni kwani ni zao la jf .
.viva jf
Wewe inaonekana ya kwako haikudumu acha hizoWengi mtapinga lakini ndiyo ukweli. wanaoona toka humu nawapa pole nyingi! wajiandae kwa heart attack! yangu macho.
Hee!! Tanmo.... is it you??
kwa nini Ashadii? tumuombee Mtakatifu Ivuga ili ndoa yake iwe na amani na upendo......
Umebadilika rafiki.... Hio ndoa lazima tuende step by step bana..... maana naona SI hana mzaha....
kama wewe sio mlevu haina shida ..ila kama unapiga kielevi itakuwa sio njema ..si unajua.kwenye Bold, Wasiwasi wako tu Rafiki..
kama Mtakatifu atakubali basi nimejitolea kuwa mpambe wake siku ya Harusi....
Ivuga upo????
hahhaha ...haya bhana ..ni thihi thi thi baba thao na mama thaoNatanguliza Hongera, Mlamua.
..Ila Mtoto wa Watu usimlishe Chips na Picha ya Samaki, ah sory, THAMAKII.
Kila linaloitwa la Heri.