kuna umuhimu wa sisi na vyombo vya dola kuvichunguza na kuzikataa hizi 'new edition religions'.Kwa hiyo kifo si mpango wa Mungu mkuu?..........Hata mtu anapozeeka na kufikia ukomo bado ni mpango wa shetani? Hili ni fumbo la imani aisee.....
Mkuu kwa mara ingine naomba kama huna neno zuri la kuchangia hapa nyamaza tu,unatuongezea machungu,thread hii sio ya malumbano ni kutoa pole na kufariji.Mkuu;
....ni mpango wa shetani,...!
Amina.....Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe
Ndo kama hivi mkuu, kazi haziendi...........Am speechless!
Nimeona KWENYE AVATAR ,NIMEATAFUTA HIYO THREAD SIJAIPATAPitia thread inayohusu kifo chake kwanza kabla ya kuanzisha nyingine, kila kitu kiko wazi
Threads za kuhusu mpendwa wetu tunajitahidi kuzi-merge ili tuweze kuwa na pool moja ya kutoa salaam na rambirambi.Nimeona KWENYE AVATAR ,NIMEATAFUTA HIYO THREAD SIJAIPATA
Du ahsante kama hili ndio jibu unalofikiri linafaa kwa swali nililouliza....MUNGU AKUPE HEKIMA ZAIDI