SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
Wekeni picha plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!
Kwahiyo Nape anavyovaaga naye utamwita mwanachama wa magwanda? Mimi ni injinia na kwenye kazi yangu huwa navaa kombat, na mimi mtaniita mwana magwanda pia??
Acheni kulink vitu bila kureason.
Hutaki au unataka kujifananisha na mimi!
kwa wadau mliokuwa mkiangalia taarifa ya habari ya ITV, mtakuwa mmemshuhudia mtangazaji huyu akiwa ametupia gwanda na kuripoti habari zake akiwa hapa jijini, hii inaonyesha hata waandishi wa habari wameanza kufunguka na kuachana na woga sasa wako huru, hongera monyo, wapo wachache wenye ujasiri kama wako