Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
K,
Hivi hawa waandishi hawatakiwi kuwa impartial? Ingekuwa vipi kama angeripori na full magamba ya kijani?
I thought regardless of our situation, journalist are expected to at least project the appearance of impartiality, no?
Or do we have a case of "desperate situations call for desperate measures" here ?
Msichoelewa ni hiki gwanda wanazovaa chadema rangi zake si sehemu ya rangi za chama za chadema zinazotambulika kisheria ndio maana akina zitto na mbowe huwa wanapiga gwanda hata bungeni, kwahiyo mtangazaji huwpyo huwezi kumbana eti kavaa nguo za chama flani! Chungiza hizo rangi kama zimo kwenye bendera! Hapo ndo utakapo wakubali chadema walivyo makini! Mbunge wa ccm hawezi kuvaa nguo la kijani bungeni atatolewa nje ya bunge hata kama ameshona kama gwanda la chadema!