Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

....
.....Chadema kama Oksijeni..................
attachment.php


S
OWETO
 
Baada ya kuisambaratisha vibaya CCM kwenye uchaguzi wa udiwani wa kata nne jijini Arusha mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Godbless Lema kesho atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Mbalizi Mbeya vijijini.

Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mkutano huo Kissman Mwangomale amesema Lema amealikwa kuwa mgeni rasmi na wanachama wa mjini Mbalizi kwa kuthamini kazi kubwa anayofanya ndani ya Chadema.

Chadema inaongoza vijiji vyote vilivyoko katika kata za Utengule Usongwe na Nsalala zote za mjini Mbalizi.

Mkutano huo utafanyika katika viwanja vya mahubiri vilivyoko Tazara mjini Mbalizi.

Lema mbali ya kuhutubia mkutano wa hadhara anatarajiwa pia kufungua matawi ya Chadema na kupokea mamia ya wanachama wapya.

Kiongozi huyo wa ngazi ya juu ya Chadema anatarajiwa kusindikizwa na wabunge maarufu wa Kanda hiyo Mchungaji Peter Msigwa,Davidi Silinde na Joseph Mbilinyi anayejulikana kwa jina maarufu la Rais wa Mbeya.

Source:Tanzania Daima.

Big Up kwa taarifa kamanda............................. Unajua Lema aliulizwa swali na Sugu kwamba KWANINI CCM WALIPATA KURA ARUSHA?
 
Zombe(4).jpg
siku zombe alipomuita lema jambazi na akamwaga ushahidi lkn lema alikaa kimya na kukwepa wandishi wa habari, niliiogopa dunia. lema ni jambazi. wanambeya kueni makini na vilipuzi. ugaidi usije fanyika huko
 
mungu awe nawe ni nawaomba wana mbeya kumlinda huyu kamanda kwa nguvu zote asidhurike cc tuko nyuma yenu kwa maombi mungu awabariki
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.

Tunashangilia kwasababu CHADEMA wamegundua kuwa kumbe Kiongozi wa Kitaifa wa CCM ni sawa na Mwenyekiti wa tawi la msingi wa CHADEMA.
 
Zombe(4).jpg
siku zombe alipomuita lema jambazi na akamwaga ushahidi lkn lema alikaa kimya na kukwepa wandishi wa habari, niliiogopa dunia. lema ni jambazi. wanambeya kueni makini na vilipuzi. ugaidi usije fanyika huko

Acha kujivua ufahamu we mrembo............................ Lema hakuwa na sababu ya kumjibu Zombe, kwakuwa siyo saizi yake, pili hana kesi yoyote kwahiyo hata jamii ilijua Zombe anatumika....................
 
Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.
HAMY-D kama mlijua kata za Arusha ni za CDM kwanini mliweka wagombea na mwenzako Juliana Shonza kujitapa kuwa mtashinda 4-0?
 
Last edited by a moderator:
Na hapa ni shinyanga leo vipi ng'ombe ya nani huko?
attachment.php




Hivi CHADEMA uchaguzi wa Arusha kumbe ulikuwa na maana sana kwenu?

Mimi nilijua imani yenu kuwa Arusha ni ngome yenu itafanya kazi!?

Mbona tena mnajitutumua kushangilia ushindi kwa kata ambazo kimsingi zilikuwa zenu?

Arusha ni yenu, kata ni zenu, kwanini mshangilie kuiangusha CCM?

Acheni hofu kwa CCM jamani, hizi ni siasa tu.
 
Chadema hakuna mtu asiye msomi eeeeeee!.
mbowe.....kidato cha nne.
msigwa....kidato cha nne.
sugu.......std seven.
lema.......kidato cha pili au hawa siyo wanachadema?
Tatizo wewe una kariri mambo na hiyo kitu itakutesa sana ungekuwa unataka kujua ungeniuliza unapo sema wasomi unamaanisha nini? kwa kukusaidia mimi naamini MSOMI NI MTU ANAYE JITAMBUA KISIASA, KIJAMII, KIUTAMADUNI NA KIJAMII KULINGANA NA ELIMU ALIYO NAYO, tatizo unachanganya kati ya elimu ya darasani na mtu aliye soma then akaelimika ukisoma na kuelimika ndo unatakiwa uitwe msomi thats y nasema CHADEMA WOTE NI WASOMI hata kama ni la vududu WAME SOMA, WAKAELIMIKA, WAKAJITAMBUA na NDIO WASOMI bt Utajuta kwa WASOMI KUWA CHADEMA
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

Na wanaoiba mali asili za nchi kama madini, gesi, wanyama pori na pembe za ndovu akina Kinana, wao wanaruhusiwa na nani? Utumiage japo 1/100000 ya akili yako...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom