Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

Chadema hakuna mtu asiye msomi eeeeeee!.
mbowe.....kidato cha nne.
msigwa....kidato cha nne.
sugu.......std seven.
lema.......kidato cha pili au hawa siyo wanachadema?

Lukuvi darasa la pili....Ongezea wengine......
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

wauza unga,wazee wa ndovu,richmond hadi dowans,mabil ya uswiss,kagoda,EPA n.k huu ni miongoni tu mwa utekelezaji bora wa Ilani yenu
 
Ki msingi Molemo harakati ambazo watu wa mbeya vijini wameamua kuzifanya zitawashangaza wengi mana vijana wasomi wenye uwelewa wamekuja kusaidiana na vijana na wanachama wote wakongwe wa chadema ndani ya mby v mana chadema hakuna mtu asiye msomi coz ya power of argument waliyo nayo sasa kama wewe uko mbeya vijijini kesho tutasaidiana kuwa update wana jamii kinacho fanyika, mana hata mimi ni mjumbe wa kamati ya maandalizi ya mkutano huo ko wana jamvi kaeni mkao wa kupata newz, HARAKATI ZA KUIOKOA TZ NDANI YA MBEYA ZILIANZIA MBY V NA TUTAHAKIKISHA CCM WANAKAA

Asanteni sana , tunawatakia kila la heri .
 
Mkutano ni leo (jumamosi) au kesho jumapili? Pia hiyo location ni wapi, pale stend au? Tazara ipi? Mi nafaham ya iyunga tu.
 
Baada ya kuisambaratisha vibaya CCM kwenye uchaguzi wa udiwani wa kata nne jijini Arusha mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Godbless Lema kesho atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Mbalizi Mbeya vijijini.

Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mkutano huo Kissman Mwangomale amesema Lema amealikwa kuwa mgeni rasmi na wanachama wa mjini Mbalizi kwa kuthamini kazi kubwa anayofanya ndani ya Chadema.

Chadema inaongoza vijiji vyote vilivyoko katika kata za Utengule Usongwe na Nsalala zote za mjini Mbalizi.

Mkutano huo utafanyika katika viwanja vya mahubiri vilivyoko Tazara mjini Mbalizi.

Lema mbali ya kuhutubia mkutano wa hadhara anatarajiwa pia kufungua matawi ya Chadema na kupokea mamia ya wanachama wapya.

Kiongozi huyo wa ngazi ya juu ya Chadema anatarajiwa kusindikizwa na wabunge maarufu wa Kanda hiyo Mchungaji Peter Msigwa,Davidi Silinde na Joseph Mbilinyi anayejulikana kwa jina maarufu la Rais wa Mbeya.

Source:Tanzania Daima.

Bravo Godbless John Lema; GJL; Tembeza kurunzi la vuguvugu la mabadiliko nchi nzima;
Kurunzi lako lipeleke matumaini kwa waliokata tamaa;
Mabadiliko ya fikira kwa wanaoishi na VIRUSI vya Che-Che-Mea aka CCM na
Ujasiri kwa waliogubikwa na Woga wa vitisho vya serikali ya CCM

Freedom is comming tommorow; Aluta continua.
 
Duh! Huyo jamaa naona sasa ameamua kuvamia nyanda za juu baada ya heka heka za Arusha. Hivi huwa hachoki?
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

du umekunywa maji ya bendera ya ccm nn?kama ni mwizi mbona hamumshtaki?
 
Kimsingi lema mimi nampenda sana baada ya kupata taarifa hyo nmejsikia vzr.kamanda lema njoo tunakukaribisha sana m-town
 
Lema kufanya siasa ni ishara ya utawala bora wa Chama Cha Mapinduzi na uongozi bora wa Jakaya Kikwete. Hivi mnajua kuwa kuna nchi ambazo wezi wa magari hawatakiwi hata kupiga kura, achilia mbali kuwa wabunge?

Sweety upo?I really missed u ashawo.LOL!
 
Chama cha CHADEMA Leo kitafanya mkutano wa injili maeneo nzovwe mbeya mjini msikose waumini wote.

Yaleyale ifike mahali kama hamna hoja magamba mtuachie tujinafasi wenyewe kuliko kubana space kisa uhuru wakutoa maoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom