Habari zenu wanaJF,
Mtendaji mkuu wa DAWASA habari za jioni. Tuna muda wa wiki tatu sasa hatuna maji kabisa hapa Goba, mimi nakaa Goba mitaa ya kwa Morgan na week ya tatu hii hatuna maji! Kikawaida hua tunapataga kwa wiki mara moja lakini kwa kipindi cha hivi karibuni tunakaa hadi wiki 3 ndo tunapata maji na kupelekea kuingia gharama za kununua maji ya kwenye malori.
Wito wangu;
Tuma timu ije ifanye uchunguzi kama kuna tatizo la miundo mbinu ya maji basi lishughulikiwe na maji yaweze kutoka. Tumsaidie Rais kwenye mambo madogodogo kama haya.
Mwananchi wa Goba.
Mtendaji mkuu wa DAWASA habari za jioni. Tuna muda wa wiki tatu sasa hatuna maji kabisa hapa Goba, mimi nakaa Goba mitaa ya kwa Morgan na week ya tatu hii hatuna maji! Kikawaida hua tunapataga kwa wiki mara moja lakini kwa kipindi cha hivi karibuni tunakaa hadi wiki 3 ndo tunapata maji na kupelekea kuingia gharama za kununua maji ya kwenye malori.
Wito wangu;
Tuma timu ije ifanye uchunguzi kama kuna tatizo la miundo mbinu ya maji basi lishughulikiwe na maji yaweze kutoka. Tumsaidie Rais kwenye mambo madogodogo kama haya.
Mwananchi wa Goba.