Gharama za kutoa gari bandarini

Challenger

Member
Sep 5, 2007
53
21
Wana JF

Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini.

Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari bandarini. Maana imeshuhudiwa waTanganyika wanashindwa kutoa gari bandarini kwa sababu haku-budget mambo sawa.

Nawakarisha kwa msaada
 
Wana JF

Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini.

Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari bandarini. Maana imeshuhudiwa waTanganyika wanashindwa kutoa gari bandarini kwa sababu haku-budget mambo sawa.

Nawakarisha kwa msaada
kwa ufupi tuu, kama utaagiza gari lenye thamani ya kuanzia '
usd 3000-3800 nani ya kuanzia 2002 basi hakikisha una 15,000,000 cash ndio uanze mchakato wakuagiza na utalitoa bila blabla zozote
 
kwa ufupi tuu, kama utaagiza gari lenye thamani ya kuanzia '
usd 3000-3800 nani ya kuanzia 2002 basi hakikisha una 15,000,000 cash ndio uanze mchakato wakuagiza na utalitoa bila blabla zozote
Unamaanisha hizo 15 mil ni gharama za bandari tu au pamoja na kodi?
 
Ndugu yangu hii TRA ni wezi wanatangazia watu hii system yao mpya ya evaluation kuanzia Jan. 2012 lakini cha kushangaza uki feed details kwenye system yao ya Ascuda Plus ili itoke estimate ya ushuru inakuwa tofauti na ukifanya wewe. Kwa kifupi kama wana mislead watu...mimi last month nimetoa gari ya mwaka 200i0 nika feed kwenye hii system na nikaipeleka kwa afisa wa evaluation na yeye akanitolea estimates ileile kama mimi nilivyopata USD 4,208 lakini cha kushangaza nimelipa ushuru 12,100,000/= baada ya agent kuingiza kwenye hiyo ascuda plus.

nime attach hiyo evaluation calculator na list ya magari na bei zake. wewe weka mwenyewe utaona unatakiwa ulipie kiasi gani.
 
Unamaanisha hizo 15 mil ni gharama za bandari tu au pamoja na kodi?
hiyo nikuanzia japani hadi0 kuingia nalo barabarani, itofautishwe miaka hapo maana hapo sio chakavu kama ni nikuanzia miaka ya 2001 kurudi nyuma bei itaongezeka kidogo hapo na kama ni 2010 hadi sasa jua bei itakua juu pia.


4
 
Wana JF

Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini.

Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari bandarini. Maana imeshuhudiwa waTanganyika wanashindwa kutoa gari bandarini kwa sababu haku-budget mambo sawa.

Nawakarisha kwa msaada

Nafikiria safari nyingine gari nikalichukulie bandari ya Mombasa itakuwaje. Bandari ya Dar pamoja na gharama kuwa juu jiandae kulipata gari zaidi hata ya wiki mbili, hadi unachoka sijui imekaaje.
 
Jamani naombeni msaada na mimi.

Nikinunua gari ya mwaka 1998 kwa USD 5000 kule nje ambayo ni bei na usafiri nitenge sh ngapi hadi gari kuingia barabarani?
 
Jamani,

Nashukuru kwa maoni mbali mbali lakini bado hatujajibu sawali la msingi - Mimi ninachotaka kujua gharama za kutoa gari bandarini - najua TRA watakuwa wameniacha hoi kiasi gani - nimejiandaa kuwashinda (budget yao nimewatengea mapemaaaaa! - kwani kwa kutotaka ugomvi niliwauliza TRA Customer Care - wakanipa figure kwa aina ya gari ninayotaka

Sasa nataka kujua fainali kule bandarini - najua kuna handling charges, whalfage, na teminology nyingi za kuchanganya ili kutuboa mfuko niliowekea vijifedha, Sasa nitahohitaji hapa ni vipengere gani wanavyotumia hawa watu wa bandari kwa muagizaji kulipia gari aliloagiza nje na likapitia kwenye bandari yao.
 
Jamani,

Nashukuru kwa maoni mbali mbali lakini bado hatujajibu sawali la msingi - Mimi ninachotaka kujua gharama za kutoa gari bandarini - najua TRA watakuwa wameniacha hoi kiasi gani - nimejiandaa kuwashinda (budget yao nimewatengea mapemaaaaa! - kwani kwa kutotaka ugomvi niliwauliza TRA Customer Care - wakanipa figure kwa aina ya gari ninayotaka

Sasa nataka kujua fainali kule bandarini - najua kuna handling charges, whalfage, na teminology nyingi za kuchanganya ili kutuboa mfuko niliowekea vijifedha, Sasa nitahohitaji hapa ni vipengere gani wanavyotumia hawa watu wa bandari kwa muagizaji kulipia gari aliloagiza nje na likapitia kwenye bandari yao.

Gharama za bandari kwa gari ndogo ndogo hazizidi laki 300,000/= , gari likiwa kubwa na bei ya bandariinaongezeka kuna vipimo wao wanaita CBM zinavyongezeka na wharfage inaongezeka.hapo pia ujumlishe na gharama za kumlipa agent wako ambazo ni kati ya 200,000/= mapaka 500,000/= inategemea makubaliano yenu.
 
Gharama za bandari kwa gari ndogo ndogo hazizidi laki 300,000/= , gari likiwa kubwa na bei ya bandariinaongezeka kuna vipimo wao wanaita CBM zinavyongezeka na wharfage inaongezeka.hapo pia ujumlishe na gharama za kumlipa agent wako ambazo ni kati ya 200,000/= mapaka 500,000/= inategemea makubaliano yenu.

Mnama nashukuru kuanza kutoa mwanga kwenye swali la msingi - najua mwisho wa siku tutapata "MODEL". Awali nilitengeneza excel sheet yangu ambayo nilikuwa nikutumbukiza CIF value basi bottom line ananitolea figure ambayo inabidi niwatupie bandari. Bahati mbaya nimeli-misplace file langu so everything has fallen apart nimegeuka kuwa omba omba kama unionavyo
 
kwa ufupi tuu, kama utaagiza gari lenye thamani ya kuanzia '
usd 3000-3800 nani ya kuanzia 2002 basi hakikisha una 15,000,000 cash ndio uanze mchakato wakuagiza na utalitoa bila blabla zozote

Loly thanks

Lakini niona umejibu swali gumu kwa jibu jepesi sanaaaa!. kama uyasemayo ndiyo yashikayo basi wengi tungekuwa tunayaona magari kwa macho tu barabarani 15,000,000 just kwa gari la USD 3000-3800 ni kubwa saaaana kwa bandari labda unamaanisha kodi mbali mbali za uingizaji magari (Import taxes) jumlisha kodi za bandari
 
Loly thanks

Lakini niona umejibu swali gumu kwa jibu jepesi sanaaaa!. kama uyasemayo ndiyo yashikayo basi wengi tungekuwa tunayaona magari kwa macho tu barabarani 15,000,000 just kwa gari la USD 3000-3800 ni kubwa saaaana kwa bandari labda unamaanisha kodi mbali mbali za uingizaji magari (Import taxes) jumlisha kodi za bandari
sijamaanisha 15m ndio kodi, hiyo nipamoja na gharama za kununua na kusafirisha na port charges, tax pamoja na agent ndio maana yangu,
 
Jamani,

Nashukuru kwa maoni mbali mbali lakini bado hatujajibu sawali la msingi - Mimi ninachotaka kujua gharama za kutoa gari bandarini - najua TRA watakuwa wameniacha hoi kiasi gani - nimejiandaa kuwashinda (budget yao nimewatengea mapemaaaaa! - kwani kwa kutotaka ugomvi niliwauliza TRA Customer Care - wakanipa figure kwa aina ya gari ninayotaka

Sasa nataka kujua fainali kule bandarini - najua kuna handling charges, whalfage, na teminology nyingi za kuchanganya ili kutuboa mfuko niliowekea vijifedha, Sasa nitahohitaji hapa ni vipengere gani wanavyotumia hawa watu wa bandari kwa muagizaji kulipia gari aliloagiza nje na likapitia kwenye bandari yao.
wana rate zao huwezi kuestimate figure kamili, mpaka gari lifike
 
Nafikiria safari nyingine gari nikalichukulie bandari ya Mombasa itakuwaje. Bandari ya Dar pamoja na gharama kuwa juu jiandae kulipata gari zaidi hata ya wiki mbili, hadi unachoka sijui imekaaje.
ni kweli bora utolee mombasa hakuna longolongo kama dar, pia gharama sio juu sana compd na dar.
 
Ndugu yangu hii TRA ni wezi wanatangazia watu hii system yao mpya ya evaluation kuanzia Jan. 2012 lakini cha kushangaza uki feed details kwenye system yao ya Ascuda Plus ili itoke estimate ya ushuru inakuwa tofauti na ukifanya wewe. Kwa kifupi kama wana mislead watu...mimi last month nimetoa gari ya mwaka 200i0 nika feed kwenye hii system na nikaipeleka kwa afisa wa evaluation na yeye akanitolea estimates ileile kama mimi nilivyopata USD 4,208 lakini cha kushangaza nimelipa ushuru 12,100,000/= baada ya agent kuingiza kwenye hiyo ascuda plus.

nime attach hiyo evaluation calculator na list ya magari na bei zake. wewe weka mwenyewe utaona unatakiwa ulipie kiasi gani.

thanks, calculator siioni.
 
Back
Top Bottom