Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Na kama nimeagiza ki-Swift changu cha CIF $1800?
0.78x5000usd=x+5000usdxtsh=unamiliki gari yako.Jamani naombeni msaada na mimi.
Nikinunua gari ya mwaka 1998 kwa USD 5000 kule nje ambayo ni bei na usafiri nitenge sh ngapi hadi gari kuingia barabarani?
kama ni ya 2002 andaa 9m hiyo nikutoka japani hadi unaingia nayo barabarani mkuu. Hii inasababishwa na dola kupanda napamoja baadhi ya tax ziàchajiwa interm of dala.Na kama nimeagiza ki-Swift changu cha CIF $1800?
kama ni ya 2002 andaa 9m hiyo nikutoka japani hadi unaingia nayo barabarani mkuu. Hii inasababishwa na dola kupanda napamoja baadhi ya tax ziàchajiwa interm of dala.
itazidi kidogo hapo shikilia 10m mkononi ndio uanze huo mchakato.Ni hiki kitu ila ni cha 1999View attachment 55738
hivi hii ndio swift? Mbona naona kama mataa yake makubwa leo?Ni hiki kitu ila ni cha 1999View attachment 55738
hivi hii ndio swift? Mbona naona kama mataa yake makubwa leo?
Ni hiki kitu ila ni cha 1999View attachment 55738
Hii Swift ikipakiwa bandarini Japan, ni energy server. Mafuta inanusa tu, hata nchi zilizoendelea siku hizi wanapendelea vitu kama hivi kutunza pesa mfukoni. Hiyo mitruck mafuta ni kama shimo yanakoishia huyaoni. Hii ni 2004/5
aahh nimekuelewa sasa, maana kuna mtu aliniambia ameagiza kanoah kadogo chaajabu siku gari imeingia ni fine cargo nikachoka, ûsio swift loly...hii ni suzuki wagon R wide iko poa
usipungukiwe na 15m pia inategemea na aina ya gari yawezekana ikapanda hadi 16m
sijamaanisha 15m ndio kodi, hiyo nipamoja na gharama za kununua na kusafirisha na port charges, tax pamoja na agent ndio maana yangu,
Mie nadhani kigezo kikubwa ni ukubwa wa engine yani cc pamoja na Manufacture year.wana rate zao huwezi kuestimate figure kamili, mpaka gari lifike
Wana JF
Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini.
Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari bandarini. ....Nawakarisha kwa msaada
0.78x5000usd=x+5000usdxtsh=unamiliki gari yako.
0.78x5000usd=x+5000usdxtsh=unamiliki gari yako.
tatizo ni kwamba hiyo $1800 haitapigiwa hesabu kama dola 1800 wana viwango vyao kulingana na gari na gari, inawezashuka lakini sioUsipokuwa mwangalifu humu JF unaweza ukawa misled.
gari ya US$ 1800 (2002) swift kwa vyovyote haiwezi kufika million 9 mpaka uwe nayo barabarani. Sana sana ni kama dola $3500. Hapo iko barabarani
hivyo vyote vimo na mengineyo, hujiulizi kwanini watu wanakwama wakati gari imeshafika bandarini?Mie nadhani kigezo kikubwa ni ukubwa wa engine yani cc pamoja na Manufacture year.
usipungukiwe na 15m pia inategemea na aina ya gari yawezekana ikapanda hadi 16m
sijamaanisha 15m ndio kodi, hiyo nipamoja na gharama za kununua na kusafirisha na port charges, tax pamoja na agent ndio maana yangu,
hivyo vyote vimo na mengineyo, hujiulizi kwanini watu wanakwama wakati gari imeshafika bandarini?
Unazani wanakua hawajapiga mahesabu yao kwanza na wakaona wana
hela? Mziki unakuja kwenye ukokotolewají wa hayo mahesabu bandari wana style yao na tra style yao.