Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Hahaha! Tulitaka kuingia hewani, binamu akatutahadharisha kuwa hubby wako ni mkurya. Ila salamu zako tulizipata. Thanks!
mie mwenyewe nilitaka kuingia hewani sema jana safaricom zilikuwa zinasumbua kuweka kwenye voda yaani nilitamani sana kuongea nanyi.....halafu utani wa ngumi huo.....lol