Chrispin akijitambulisha kwa wapwa...alisema wapwa ...muhudumu watendee haki vijana .....hamjambo huyu zd, huyu nguli...aaah nimekosea...
Nyie wote leo naona kazi imekuwa ni JF tuuuuuu. mmmm naona get tugedha imehamshiwa hapa jamvini...haya endeleeni, na msikose kutualika for the next one!!!
safari ijayo tutarecord baadhi ya clips
jamani Nguli, hizo photo zinaniua mwenzio lol
Ndo sababu nilikuwa nimevaa helmet!