Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kwa wale walio miss kikao cha jana msiwe na kinyongo wapwa wana andaa get tugedha ingine tunawakaribishana wana jamvi mnaweza kuwasiliana na ZD,Nguli , Chrspin, Carmel, Geoff, Yo Yo hata mm mwenyewe.
Kwa kweli jana tulienjoy sana wapwa watakuja kumwaga vitu hapa.
Next time get tugedha sijui tutaifanyia wapi lakini ni vizuri sana kuonana na kufahamiana mlio miss ya jana msikonde next time kama kawa mnakaribishwa ila wasiliana na wadau hapo juu.
Shukrani nawashukuru nyote mlio kuja jana.
Kwa kweli jana tulienjoy sana wapwa watakuja kumwaga vitu hapa.
Next time get tugedha sijui tutaifanyia wapi lakini ni vizuri sana kuonana na kufahamiana mlio miss ya jana msikonde next time kama kawa mnakaribishwa ila wasiliana na wadau hapo juu.
Shukrani nawashukuru nyote mlio kuja jana.