networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
- Thread starter
- #61
Mkuu si ujitoe mhanga ili uje utupe uzoefu?!! Nafikri itapendeza kama utakuwa wa kwanza ili tukufanyie mazoezi!!
hata hana haja ya kujitoa muhanga kuna hizo namab hapo juu piga mmoja utaulizwa unapo ishi kama karibu na hapo kuna mtu tumesha mfungia mtambo utaelekezwa kawake ili uka jione.na hatu kuzi mtambo kabla hauja ona ufanyaji kazi wake