Gesi ya kulipa mara moja unatumia milele

Mkuu, inaonekana wewe una-ufahamu mzuri juu ya hii kitu

Hebu tuelezee basi ili na sisi wengine tujue
Samahani Mkuu sikuona mwanzo comment yako ningekujibu before hii ni teknolojia nzuri tu (ingawa sio mpya wala ngeni) tatizo ni lugha ilivyotumika na anachosema huenda kika-misled watu wakazani wananunua magic box ambayo unaweza uchafu wako wa jana na kutumia milele na kusahau kwamba Input lazima iwe kubwa kuliko output.., kwahio mabaki ukiweka mengi utatumia sana kama ambavyo fungu moja la mkaa linapika chakula kidogo kuliko gunia


Ni kitu gani ambacho anatupotosha?
Hapo mwanzo alisema kwamba hii gesi ukishanunua haiishi ambavyo sio kweli ni kwamba inakwisha ila ukiweka mabaki ya chakula ni kwamba unatengeneza gesi nyingine hivyo basi inabidi uendelee kuweka mabaki ya chakula ili uendelee kutumia., kwa sasa nimeona anasema gesi unalipa mara moja unatumia milele it depends what is kulipa.., sababu hata tukisema nguvu ni kulipa basi ni kwamba ulipaji wako itakuwa ni kuendelea kuweka mabaki ya chakula...,


Au infanyaje kazi?
ni kwamba vitu vikioza vinatoa gas (methane) ambayo inawaka ndio maana hapo chini nikasema hata wewe kwako leo ukichukua debe au pipa ukaweka pipe kwa juu mpaka kwenye stove na kuweka kwenye pipa mabaki ya chakula au kinyesi utakuwa unapikia bila shida na mabaki yanayobaki ni mbolea tosha kabisa na nzuri ambayo haina harufu.


Ukali/nguvu ya gesi yenyewe?
Gasi hii ni nzuri kwa kupika na inafaa kabisa (the cheapest way to cook and save our environment) ila labda kwenye maabara (Bunsen burner) huenda isifae sana sababu inakuwa sio strong ila for home use its perfect

Inadumu muda gani?
Ni matumizi yako kwa pipa moja hata ukitengeneza mwenyewe kama una samadi ya ngome wawili unaweza kupikia familia yako kwa siku bila shida yoyote..., ila kama mpo wengi na unategemea tu nyanya unatokata na mabaki ya cabbage sidhani kama unaweza ukapika kuanzia asubuhi mpaka jioni (in short hakuna magic hapa what you put is what you will get, weka mabaki mengi utapata gesi nyingi


Ina madhara kwa mtumiaji?
Hapana haina madhara yoyote tena inasaidia mazingira sababu unatumia waste kupikia alafu mabaki yanakuwa mbolea

Na hii unayoiita Biogas digester .. ni nini tofauti yake na hicho anachotuambia?
Biogas (yaani gesi inayotoka kwenye hayo mabaki) digester ni kitu kinacho-digest hayo mabaki ili gesi ipatikane kwahio hata hii issue ya huyu bwana ni biogas digester, au hata wewe ukitengeneza ya kwako kutumia mtungi au pipa bado ni biogas digester


Je inafaa kwa matumizi ya nyumbani au tuachane nayo?

Tuelezee mkuu

Hapana mkuu inafaa sana wala usiachane nayo ila sio jambo geni wala hakuna mtu aliye-reinvent the wheel hapa wachina wamekuwa wakitumia Biogas for years na wewe kama kwako kuna mabaki mengi, samadi au chochote kile sio vibaya kutumia hii sababu utapata na faida ya mbolea..., na ukikosa kabisa pesa maybe unaweza kununua stove na pipe kutoka kwa hao jamaa ukachukua pipa lako la kawaida na kutengeneza biogas digester mwenyewe
 
Makande marage unapika ,kama we hutapenda hili jiko la plate mmoja unaweza nunua jiko lingine la gesi ya bio gas. Yapo madkani

.

Mkuu asante kwa maelekezo ... ingawa nina maswali kidogo.

1. Hivi kuna tofauti kati ya Normal Gas cooker & hili ulilosema Biogas Cooker?

2. Pili Je mtambo wenu unaweza kutumia
Biogas RICE COOKER?



Maelezo kidogo hapa chini

a. Biogas Cooker
6730176815_b3eb53cbf1_z.jpg


download.aspx



b. Biogas Cooker
url


Sasa hapa chini ni Normal Gas Cooker



c. Normal Gas Cooker

url




2. Vipi kuhusu Biogas Rice Cooker ... Je?! .. inaweza kutumika katika mtambo huo wenu? .. asante


Kushoto ni Biogas Cooker & kulia ni Biogas Rice Cooker


url


url

Biogas Rice Cooker




Yaani yanaweza kutumika katika huu mtambo wenu?


IMG_1871kl.jpg

Gesi550 system installed


Asante ni hayo tu ... ntashukuru sana ukinijibu na kwa manufaa ya Watanzania wenzetu ili sisi tuliovutiwa na huu mtambo wenu tuweze kununua maana inaonekana kuwa ni mzuri.

Asante



.

 
Samahani Mkuu sikuona mwanzo comment yako ningekujibu before hii ni teknolojia nzuri tu (ingawa sio mpya wala ngeni) tatizo ni lugha ilivyotumika na anachosema huenda kika-misled watu wakazani wananunua magic box ambayo unaweza uchafu wako wa jana na kutumia milele na kusahau kwamba Input lazima iwe kubwa kuliko output.., kwahio mabaki ukiweka mengi utatumia sana kama ambavyo fungu moja la mkaa linapika chakula kidogo kuliko gunia

Hapana mkuu inafaa sana wala usiachane nayo ila sio jambo geni wala hakuna mtu aliye-reinvent the wheel hapa wachina wamekuwa wakitumia Biogas for years na wewe kama kwako kuna mabaki mengi, samadi au chochote kile sio vibaya kutumia hii sababu utapata na faida ya mbolea..., na ukikosa kabisa pesa maybe unaweza kununua stove na pipe kutoka kwa hao jamaa ukachukua pipa lako la kawaida na kutengeneza biogas digester mwenyewe

.
Asante saaaaana Mkuu sun wu kwa majibu yako mazuri & katika kila area ambayo nimeulizia .. Sasa nimeelewa .. so ni kama Biogas nyingine za kawaida ila hawa wanatumia mabaki ya chakula ili kuzalisha Biogas ... Ok & mtambo wao .. digester

Natamani niku-gongee like katika kila jibu .. ila ndo hivyo tena haiwezekani .. ila 1 like assume ni kama like 10 hivi!

Though kuna swali nimemuuliza hapo juu ... kuhusiana na Biogas Rice Cooker & Kama kuna tofauti kati ya Normal Gas Cooker & Biogas Cooker kama zinaweza kutumika katika mtambo wao ngoja niangalie atakavyonijibu

Thanx!


.
 
Pia mtuambie mko wapi ili tukipata muda tuwatembelee na kuona kwa macho mtambo wenyewe.... seeing is believing.

@ mkuu Sun Wu kama tunaweza kutumia pipa la kawaida badala ya mtambo huo, unatushauri tusinunue hiyo ili kulinda mafao kidogo tuliyonayo? Kama ndivyo toa ufafanuzi zaidi juu ya hilo pipa litengezwe vipi.
 
Samahani Mkuu sikuona mwanzo comment yako ningekujibu before hii ni teknolojia nzuri tu (ingawa sio mpya wala ngeni) tatizo ni lugha ilivyotumika na anachosema huenda kika-misled watu wakazani wananunua magic box ambayo unaweza uchafu wako wa jana na kutumia milele na kusahau kwamba Input lazima iwe kubwa kuliko output.., kwahio mabaki ukiweka mengi utatumia sana kama ambavyo fungu moja la mkaa linapika chakula kidogo kuliko gunia



Hapo mwanzo alisema kwamba hii gesi ukishanunua haiishi ambavyo sio kweli ni kwamba inakwisha ila ukiweka mabaki ya chakula ni kwamba unatengeneza gesi nyingine hivyo basi inabidi uendelee kuweka mabaki ya chakula ili uendelee kutumia., kwa sasa nimeona anasema gesi unalipa mara moja unatumia milele it depends what is kulipa.., sababu hata tukisema nguvu ni kulipa basi ni kwamba ulipaji wako itakuwa ni kuendelea kuweka mabaki ya chakula...,



ni kwamba vitu vikioza vinatoa gas (methane) ambayo inawaka ndio maana hapo chini nikasema hata wewe kwako leo ukichukua debe au pipa ukaweka pipe kwa juu mpaka kwenye stove na kuweka kwenye pipa mabaki ya chakula au kinyesi utakuwa unapikia bila shida na mabaki yanayobaki ni mbolea tosha kabisa na nzuri ambayo haina harufu.



Gasi hii ni nzuri kwa kupika na inafaa kabisa (the cheapest way to cook and save our environment) ila labda kwenye maabara (Bunsen burner) huenda isifae sana sababu inakuwa sio strong ila for home use its perfect


Ni matumizi yako kwa pipa moja hata ukitengeneza mwenyewe kama una samadi ya ngome wawili unaweza kupikia familia yako kwa siku bila shida yoyote..., ila kama mpo wengi na unategemea tu nyanya unatokata na mabaki ya cabbage sidhani kama unaweza ukapika kuanzia asubuhi mpaka jioni (in short hakuna magic hapa what you put is what you will get, weka mabaki mengi utapata gesi nyingi



Hapana haina madhara yoyote tena inasaidia mazingira sababu unatumia waste kupikia alafu mabaki yanakuwa mbolea


Biogas (yaani gesi inayotoka kwenye hayo mabaki) digester ni kitu kinacho-digest hayo mabaki ili gesi ipatikane kwahio hata hii issue ya huyu bwana ni biogas digester, au hata wewe ukitengeneza ya kwako kutumia mtungi au pipa bado ni biogas digester




Hapana mkuu inafaa sana wala usiachane nayo ila sio jambo geni wala hakuna mtu aliye-reinvent the wheel hapa wachina wamekuwa wakitumia Biogas for years na wewe kama kwako kuna mabaki mengi, samadi au chochote kile sio vibaya kutumia hii sababu utapata na faida ya mbolea..., na ukikosa kabisa pesa maybe unaweza kununua stove na pipe kutoka kwa hao jamaa ukachukua pipa lako la kawaida na kutengeneza biogas digester mwenyewe

Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .
 
Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .

Mkuu Networker,

Asante kwa kuelezea zaidi na kutujuza

Naomba unijibu swali langu hapo juu ambalo linahusiana na ... by the way, unaweza ukasoma hapo juu


Mkuu asante kwa maelekezo ... ingawa nina maswali kidogo.

1.
Hivi kuna tofauti kati ya Normal Gas cooker & hili ulilosema Biogas Cooker?


1. a
Hivi Normal Gas cooker haiwezi kutumika instead ya Biogas Cooker - maana zote zinapokea gesi sasa kwanini isiweze?



2. Pili Je mtambo wenu unaweza kutumia
Biogas RICE COOKER?


Asante
 
Samahani Mkuu sikuona mwanzo comment yako ningekujibu before hii ni teknolojia nzuri tu (ingawa sio mpya wala ngeni) tatizo ni lugha ilivyotumika na anachosema huenda kika-misled watu wakazani wananunua magic box ambayo unaweza uchafu wako wa jana na kutumia milele na kusahau kwamba Input lazima iwe kubwa kuliko output.., kwahio mabaki ukiweka mengi utatumia sana kama ambavyo fungu moja la mkaa linapika chakula kidogo kuliko gunia



Hapo mwanzo alisema kwamba hii gesi ukishanunua haiishi ambavyo sio kweli ni kwamba inakwisha ila ukiweka mabaki ya chakula ni kwamba unatengeneza gesi nyingine hivyo basi inabidi uendelee kuweka mabaki ya chakula ili uendelee kutumia., kwa sasa nimeona anasema gesi unalipa mara moja unatumia milele it depends what is kulipa.., sababu hata tukisema nguvu ni kulipa basi ni kwamba ulipaji wako itakuwa ni kuendelea kuweka mabaki ya chakula...,



ni kwamba vitu vikioza vinatoa gas (methane) ambayo inawaka ndio maana hapo chini nikasema hata wewe kwako leo ukichukua debe au pipa ukaweka pipe kwa juu mpaka kwenye stove na kuweka kwenye pipa mabaki ya chakula au kinyesi utakuwa unapikia bila shida na mabaki yanayobaki ni mbolea tosha kabisa na nzuri ambayo haina harufu.



Gasi hii ni nzuri kwa kupika na inafaa kabisa (the cheapest way to cook and save our environment) ila labda kwenye maabara (Bunsen burner) huenda isifae sana sababu inakuwa sio strong ila for home use its perfect


Ni matumizi yako kwa pipa moja hata ukitengeneza mwenyewe kama una samadi ya ngome wawili unaweza kupikia familia yako kwa siku bila shida yoyote..., ila kama mpo wengi na unategemea tu nyanya unatokata na mabaki ya cabbage sidhani kama unaweza ukapika kuanzia asubuhi mpaka jioni (in short hakuna magic hapa what you put is what you will get, weka mabaki mengi utapata gesi nyingi



Hapana haina madhara yoyote tena inasaidia mazingira sababu unatumia waste kupikia alafu mabaki yanakuwa mbolea


Biogas (yaani gesi inayotoka kwenye hayo mabaki) digester ni kitu kinacho-digest hayo mabaki ili gesi ipatikane kwahio hata hii issue ya huyu bwana ni biogas digester, au hata wewe ukitengeneza ya kwako kutumia mtungi au pipa bado ni biogas digester




Hapana mkuu inafaa sana wala usiachane nayo ila sio jambo geni wala hakuna mtu aliye-reinvent the wheel hapa wachina wamekuwa wakitumia Biogas for years na wewe kama kwako kuna mabaki mengi, samadi au chochote kile sio vibaya kutumia hii sababu utapata na faida ya mbolea..., na ukikosa kabisa pesa maybe unaweza kununua stove na pipe kutoka kwa hao jamaa ukachukua pipa lako la kawaida na kutengeneza biogas digester mwenyewe

Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .
Unapo nunua technician wetu wanakuja kukuweka kwanza na kuzalisha wadudu ndani ya mtambo na huta ka kuwana hao wadudu.iko very safe mtambo huu..kaka nakubali njia yako ipo ila elwa its different frotwakati tuna tengeneza hii kitu hata hyo idea tulikwa nayo.mi ndi nime anzisha thread stop convicng people kwamba tutulich kifanya ni rahisi kama unavyo ongea .we hadi utumie kinyesi kwanza kinya .we are doing it technolgicaly and safe way. chakula tunacho weka ni kwa kulisha wadudu watoe gesi

Tunapatikana changombe maduka mawilli kwa anatkufik ofcini kwetu.ukishuka hapo maduka mawili vuka barabara kuna njia ya vumbi ifate utaona au ulizia simgas ilipo



Kuhusu biogas rice coker nadhani inafanya kazi ila ukipiga namba hapo juu utapewa maelez vizuri
 
Pia mtuambie mko wapi ili tukipata muda tuwatembelee na kuona kwa macho mtambo wenyewe.... seeing is believing.

@ mkuu Sun Wu kama tunaweza kutumia pipa la kawaida badala ya mtambo huo, unatushauri tusinunue hiyo ili kulinda mafao kidogo tuliyonayo? Kama ndivyo toa ufafanuzi zaidi juu ya hilo pipa litengezwe vipi.

technlgy yake ipo pia sema mtambo wetu hausubiri hadi chakla kioze yakwake hadi chakula kioze sasa utasubiri hadi lini kama nyanay au kitungu ndio ume menya saivi.mana hii yetu chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuisha wadudu wanao tengenezwa na mafundi wetu anapo seti mtambo kwa mara ya kwanza
 
Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .

Mkuu What is a Digester (Biogas Digester) kwanza kabisa tukubaliana kwamba hio gas inayotoka ni Bio gas (from organic matter) and the container system which this happens is a digester:- A biodigester is a natural system that takes advantage of the anaerobic digestion (in the absence of I oxygenate) the bacteria that already live in the dung, to transform this into biogas and fertilizer

Ofcourse ili kupata hio bio gas (methane) ni wadudu ndio wanaosababisha hii kitu and thank God this micro organisms and freely and widely available iwe kwenye mtambo wenu au mtambo gani in absence of oxygen hawa wadudu kwenye any container watatengeneza Biogas

Ngoja tujikumbushe process na organisms gani wanafanya hii process (nimegoogle na kupata hii):-
Different Types of Organisms Present in a Biogas Plant

A biogas plant uses microorganisms to produce fuel froma variety of sources of organic material, including crops, agriculturalresidue, waste material and table scraps. Different kinds of bacteria, workingunder anaerobic conditions (without oxygen), ferment and digest the material toproduce methane gas. Instead of burning fossil fuels, such as coal or gasoline,people can use a biogas plant to make fuel out of farm animal waste that mightotherwise be discarded. There are three stages of biogas production, usingthree different types of bacteria.

1. FermentativeBacteria


During the first stage, fermentativebacteria in a digester tank decompose the organic material, breaking downproteins, fats and carbohydrates into less complex components, such as aminoacids and peptides.

2. Acetogenic Bacteria
During the second stage, acetogenic bacteriaconvert the decomposed material into acetic acid, carbon dioxide and hydrogen.

3. Methanogenic Bacteria
During the third stage, methanogenic bacteriause the acetic acid, carbon dioxide and hydrogen to produce methane. At thispoint, people can collect the methane gas and use it for fuel.

Mkuu don't get me wrong sisemi mnachofanya hakifai au ni wizi, tena ninawapongeza sana kwa kutengeneza a ready made (stove and digester) out of the box ambayo itasaidia watu kwa kipato na kulinda mazingira as well ila ukweli ni kwamba the process are the same hata mtu akitumia pipa lake nyumbani au debe..., Mkuu am just trying to put the record straight and calling a spade a spade.., and not saying like there is a black box which magically does something exceptionally
 
.
Asante saaaaana Mkuu sun wu kwa majibu yako mazuri & katika kila area ambayo nimeulizia .. Sasa nimeelewa .. so ni kama Biogas nyingine za kawaida ila hawa wanatumia mabaki ya chakula ili kuzalisha Biogas ... Ok & mtambo wao .. digester

.

No worries Mkuu just here trying to learn and share everything I know or I think I know...,

After All am the Wisest Man Alive as I know One thing..., and that is I know Nothing - Socrates
 
Mkuu What is a Digester (Biogas Digester) kwanza kabisa tukubaliana kwamba hio gas inayotoka ni Bio gas (from organic matter) and the container system which this happens is a digester:- A biodigester is a natural system that takes advantage of the anaerobic digestion (in the absence of I oxygenate) the bacteria that already live in the dung, to transform this into biogas and fertilizer

Ofcourse ili kupata hio bio gas (methane) ni wadudu ndio wanaosababisha hii kitu and thank God this micro organisms and freely and widely available iwe kwenye mtambo wenu au mtambo gani in absence of oxygen hawa wadudu kwenye any container watatengeneza Biogas

Ngoja tujikumbushe process na organisms gani wanafanya hii process (nimegoogle na kupata hii):-


Mkuu don't get me wrong sisemi mnachofanya hakifai au ni wizi, tena ninawapongeza sana kwa kutengeneza a ready made (stove and digester) out of the box ambayo itasaidia watu kwa kipato na kulinda mazingira as well ila ukweli ni kwamba the process are the same hata mtu akitumia pipa lake nyumbani au debe..., Mkuu am just trying to put the record straight and calling a spade a spade.., and not saying like there is a black box which magically does something exceptionally



Got your point no problem
 
Kuna kitu hatuelewani chakula kinacho wekwa ni kwa ajili ya kuwalisha wadudu wanai wekwa ndani ya mtambo kwa mara ya kwanza hvy biogas yetu haisubiru hadi vyakula ulivyo weka vioze ndio upate gesi chakula ni chakuwalisha wadudu wanaozalisha gesi hyo.kwa hyo kaka acha ubishi mtamb hu si digester .
Unapo nunua technician wetu wanakuja kukuweka kwanza na kuzalisha wadudu ndani ya mtambo na huta ka kuwana hao wadudu.iko very safe mtambo huu..kaka nakubali njia yako ipo ila elwa its different frotwakati tuna tengeneza hii kitu hata hyo idea tulikwa nayo.mi ndi nime anzisha thread stop convicng people kwamba tutulich kifanya ni rahisi kama unavyo ongea .we hadi utumie kinyesi kwanza kinya .we are doing it technolgicaly and safe way. chakula tunacho weka ni kwa kulisha wadudu watoe gesi

Tunapatikana changombe maduka mawilli kwa anatkufik ofcini kwetu.ukishuka hapo maduka mawili vuka barabara kuna njia ya vumbi ifate utaona au ulizia simgas ilipo



Kuhusu biogas rice coker nadhani inafanya kazi ila ukipiga namba hapo juu utapewa maelez vizuri

Mkuu mi mbona sijaona Sun Wu amesema kipi kilichokufanya upandwe na jazba? Muheshimiwa (asante sana) ametuipa elimu ambayo wengi hatukuwa nayo. Japo kibiashara imeonekana kama anyone can make it product, lakini kumbuka kutokutoa maelezo sahihi ya technology husika kunaweza kusababisha matumizi mabovu kwa wateja.
Samahani kwa kutofautiana na wewe, lakini rekebisha kidogo lugha unayotumia kwenye jamvi la watu wengi. Comment zako zinaweza kuwafanya watu sensitive kama mimi tusije kununua mtambo wenu na kugoogle technical know how tukaunda ya kwetu...ni lugha nzuri pekee ndio inaweza kumfanya mteja akanunua hata kitu asichokihitaji au anacho nyumbani.
Nb: usiwe na shaka, najipanga, tutakuja kukutana chang'ombe nanunua Sim550... I'm very impressed with the product... Hii gesi ya waheshimiwa sasa imeshafika elfu 60 kwa mtungi wa lita 15. I'm sure this time next year itakuwa 100,000....I simply can not understand where this country is heading... MATABAKA NI MAKUBWA MNO. Kuna watu wanaendesha range rovers za mwaka 2012 na kuna watu wanashindwa kumudu fungu la bamia.
 
habarini ndugu zangu gesi550 ni jina la gesi ya biogas inayo tengenezwa na kuzwa kama gesi zingne tofauti ya gesi hii tuna kupa na mtambo wa kuendelea kuzallisha gesi hadi mwisho wa maisha yako.mtambo uko kama simtank ,ukisha nunua mafundi wanakuja kukusetia.pamoja na jiko la plate mmoja bure na warrant na matengenezo au service kwa miaka miwili.ukisha setiwa mtambo ili kuendelea kuzalisha gesi unatakiwa uweke mabaki ya chakula kama nyanya vitungu maganda ya viazi nk.kiasi cha nusu kilo ndani ya mtambo na maji ili kuzalisha gesi .gesi hii haina madhara kwa mazingira wala majanga ya kulipuka kama gesi zingine yanai hailipuki.mtambo hu ambao una shape ya simtank metengenezwa kitalamu gesi ii isha unaona na iijaa unaona.pia mtambo unapo zalisha gesi inatoa mbolea ambayo hainuki kabisa kama unabustani au mazao unaweza kutumia kwa mbolea. Mtambo huu au gesii hii inauzwa laki 550 .unaweza lipa kwa instalment au cash au ukatumia bank kulipa kidogo kidogo chini ya uwangalizi wa bank husika.

Kwa maelezo zaidi au kununa piga 0767746427 au 0779747427 au 0658746427 .usi ni PM piga hizo namba

Nakushukuru sana mkuu niweke kwenye orodha yako ya wateja ntanunua.
 
Mkuu mi mbona sijaona Sun Wu amesema kipi kilichokufanya upandwe na jazba? Muheshimiwa (asante sana) ametuipa elimu ambayo wengi hatukuwa nayo. Japo kibiashara imeonekana kama anyone can make it product, lakini kumbuka kutokutoa maelezo sahihi ya technology husika kunaweza kusababisha matumizi mabovu kwa wateja.
Samahani kwa kutofautiana na wewe, lakini rekebisha kidogo lugha unayotumia kwenye jamvi la watu wengi. Comment zako zinaweza kuwafanya watu sensitive kama mimi tusije kununua mtambo wenu na kugoogle technical know how tukaunda ya kwetu...ni lugha nzuri pekee ndio inaweza kumfanya mteja akanunua hata kitu asichokihitaji au anacho nyumbani.
Nb: usiwe na shaka, najipanga, tutakuja kukutana chang'ombe nanunua Sim550... I'm very impressed with the product... Hii gesi ya waheshimiwa sasa imeshafika elfu 60 kwa mtungi wa lita 15. I'm sure this time next year itakuwa 100,000....I simply can not understand where this country is heading... MATABAKA NI MAKUBWA MNO. Kuna watu wanaendesha range rovers za mwaka 2012 na kuna watu wanashindwa kumudu fungu la bamia.


Mi sikuwa na jazba mkuu nlitanka tu kupingana na idea yake ..ila nashukuru ume elewa na ume penda biddha yetu kuhusu kutumia ondoa shakaa kwani mafundi wetu watakufundisha na kukupatia maelekezo yote pindi utakapo nunua au hata ukipiga simu tuna kupa amelezo yakutosha. pia jina la gesi ni Gesi 550 jina la kampuni ni simgas .asante kwa marekebisho ntayafanyia kazi mkuu
 
Mi sikuwa na jazba mkuu nlitanka tu kupingana na idea yake ..ila nashukuru ume elewa na ume penda biddha yetu kuhusu kutumia ondoa shakaa kwani mafundi wetu watakufundisha na kukupatia maelekezo yote pindi utakapo nunua au hata ukipiga simu tuna kupa amelezo yakutosha. pia jina la gesi ni Gesi 550 jina la kampuni ni simgas .asante kwa marekebisho ntayafanyia kazi mkuu

Asante saana. Nb: sim550 was a typo. I meant gas550

Cheers
 
Upo wapi mkuu Maana sisi wa mikoani kusiko na umeme tumefurahi sana kusikia habari hii, Je unaweza kufika huku Njombe maana wateja tupo wengi saana mkuu.
 
Back
Top Bottom