networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
barini ndugu zangu gesi550 ni jina la gesi ya biogas inayo tengenezwa na kuzwa kama gesi zingne tofauti ya gesi hii tuna kupa na mtambo wa kuendelea kuzallisha gesi hadi mwisho wa maisha yako.mtambo uko kama simtank ,ukisha nunua mafundi wanakuja kukusetia.pamoja na jiko la plate mmoja bure na warrant na matengenezo au service kwa miaka miwili.ukisha setiwa mtambo ili kuendelea kuzalisha gesi unatakiwa uweke mabaki ya chakula kama nyanya vitungu maganda ya viazi nk.kiasi cha nusu kilo ndani ya mtambo na maji ili kuzalisha gesi .gesi hii haina madhara kwa mazingira wala majanga ya kulipuka kama gesi zingine yanai hailipuki.mtambo hu ambao una shape ya simtank metengenezwa kitalamu gesi ikisha unaona na ikijaa unaona.pia mtambo unapo zalisha gesi inatoa mbolea ambayo hainuki kabisa kama unabustani au mazao unaweza kutumia kwa mbolea. Mtambo huu au gesii hii inauzwa laki 550 .unaweza lipa kwa instalment au cash au ukatumia bank kulipa kidogo kidogo chini ya uwangalizi wa bank husika.
Kwa maelezo zaidi au kununa piga 0767746427 au 0779747427 au 0658746427 .usi ni PM piga hizo namb
Kwa maelezo zaidi au kununa piga 0767746427 au 0779747427 au 0658746427 .usi ni PM piga hizo namb