Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Sasa walivyokuwa wanasema gas imeishaunganishwa ya mg 350 , na kwamba kuna bar 52, wanachofanya ni kuongeza kila siku bar 1 ili kutoharibu system.Kwamba wakimaliza kuunganisha mitambo ya gas, matatizo ya umeme yatakuwa historia. Sasa leo wanavyokuja tena kutuambia mitambo ya gas ina mg 190 tu na sio 350, mara sijui mitambo ya maji haizalishi umeme kwa hiyo kuna shida. CCM wanatuona sisi ni machoko au? Na kama hawawezi kutupa umeme tunaolipia ghali kuliko wananchi wowote wa Africa mashariki, hiyo elimu na afya wanayosema watatoa bure wataweza wapi. Msitufanye wajinga!!!This is from a friend who works in the Oil and Gas sector in the Arab world:
Brother, kuchimba kisima cha Oil or Gas inahesabiwa in days min 15 days max 90 days inategemea na formation ya ardhi kule chini. Na kazi inakwenda sambamba na mabomba (Flowlines) zinazopeleka product to the Gathering Facilities for processing to be ready for delivery katika Main Pipeline inayopeleka Downstream for distribution to the end user, hata hivyo still huko mwisho kuna more facilities that are required like booster pumping stations for Oil and Pressure Reducing Terminals for gas.
Nafaham kwetu Tanzania visima vya gas zaidi ya 30 vishachimbwa tayari. Lakini gas haiwezi kuunganishwa kwa flowlines mpaka kufika katika Upstream Gathering Facilities and Processing Plants kam hizo hazijawa tayari kupokea gas. These very huge multiphase multistage facilities feed by wells from number of gathering satelite field stationsna kama hizonazo hazijawa tayari no way Kinyerezi or Ubungo can recieve LNG gas for powering the Turbine engjnes. So kwa case ya Mtwara na Kilwa haiwekani kama zimeshajengwa na ziko tayari. Na abadan huwezi kuunganisha kisima direct to the main line. Gas laizima iwe refregerated and pressure under control to become liquid ndio isafirishwe to any where for use in Tanzania. I guess TPDC and Tanesco hawasemi ukweli.
Nataraji umefaham. Namasteji