Germany president resigns over finances scandals

Hivi Nape, anawapaga watu kama hela za nini! Jitu ni lijinga mpaka Mwisho! Eti kwasababu tu umetumwa basi unaweza kuandika hata kivazi cha ndani alichovaa mzazi wako wa kike leo asubuhi humu!
 
Aise we hamnazo kweli, unadhani jinsi alivofulia **** yako baada ya kuachwa na ****** ni sawa na tukio la ujerumani, eeeeee! Hiyo ya ujerumani ni suala la mahusiano kati ya chama na chama sio mtu na mtu, kenge kweli wewe!

Siujui lini wehu wataisha humu ndani, khaaaaaaa!
 
Amini usi amini rafiki mkubwa wa zitto kabwe rais wa U germany aachia ngazi leo hii, huu ndio utakuwa mwisho wa Jeuri ya Zitto kabwe zidi ya chama chake na Jeuri ya chadema zidi ya CCM.................siasa raha utamu.

Hivi wewe umemaliza japo chekechea kweli?! Yaani kiongozi wa ujerumani na Chadema wapi na wapi? Tafuta kazi ya kufanya bwana.
 
Base ya CDM iko ndani TZ na inakuwa siku hadi siku na siyo ndani ya nchi za watu.Kama amejiuzuru kwa ufisadi ni dalili njema kama na CDM itafata nyayo zake, ie kujiuzuru kwa maamzi mabovu au kwa kitu chochote ambacho sio kwa ajili ya manufaa ya TZ.Tunategemea CDM iwe nuru ya wa Tz kwenye suala la Uwajibikaji na ivunjilie mbali kasumba ya CCM na serikali yake ya mtu/kiongozi kuboronga na kuhamishiwa kwenye taasisii nyingine.

CDM fanyeni kazi mchana na usiku kuwakomboa watz wamelala mno.
 
japo mie sio mjuzi sana ila mi nadhani chadema wako karibu zaidi na labour party cha uingereza. waingereza ndio wako karibu sana na tz,kwnza walitutawala, tuko chni y common wealth na pia mchango wao ktk bajet na ktk mirad mbalimbali ni mkubwa kuliko ujeruman
 
Ukiwa na wazo kwanza jaribu kumuuliza hata jirani yako kama ni wazo zuri au ni mataputapu matupu!!
 
Kaa utathimini kauli hii je nguvu ya chama kama ipo nje ya nchi imekuwaje ikawa na wanachama wengi tanzania kuliko u germany? Mbili je ni kwa vp chama kifadhiliwe nje ya nchi lakini kikose nguvu kuliko kinapofadhiliwa maana urais ni taasisi na taasisi kama tasisis anafanya kazi kitasisi,
 
17 Februari 2012 12:13
Rais wa Ujerumani Christian Wulff,
ametangaza kujiuzulu kwake baada ya
wendesha mashtaka kutaka aondolewe kinga
ya kushtakiwa.
Bwana Wulff, ambaye ni mshirika wa chansela
Angela Merkel, anakumbwa na kashfa kuhusu
mkopo wa kununua nyumba aliopokea wakati
akiwa waziri mkuu wa ufalme mdogo nchini
humo.
Bi Merkel alifutilia mbali ziara yake nchini Italia
mnamo Ijumaa ili kuweza kukabiliana na
kashfa hiyo,suluhisha kashfa na kuelezea
kuwa anajuta kujiuzulu kwa bwana Wulff.
Vyombo vya habari nchini Ujerumani
vimeelezea kuwa kashfa hiyo ndio ya kwanza
ya aina yake tangun enzi ya vita nchini humo.
Bi Merkel alipambana vilivyo kuhakikisha
kuwa bwana Wulff,anaunga mkono chama
chake cha Christian Democrat party (CDU)
,kama rais wadhifa alioushikilia kwa chini ya
miaka miwili.
Alamisha hii
 
Amini usi amini rafiki mkubwa wa zitto kabwe rais wa U germany aachia ngazi leo hii, huu ndio utakuwa mwisho wa Jeuri ya Zitto kabwe zidi ya chama chake na Jeuri ya chadema zidi ya CCM.................siasa raha utamu.
Nani amekukamerun!? unaweweseeka!
 
Bora hata ungekuwa na akili hata ya mwanaasha ningekufuikiria hata kidogo, hivi kweli we mzima?
 
ndo tuamini kuna watu wanatumia mak****o kufikiria, na kama hutaki hushikiwi fimbo..........
 
Sijui lini katiba yetu "haitamuweka raisi" kuwa juu ya sheria.
Kifungu hiki, "Rais hatashitakiwa...blah, blah, blah.." kinaitukana demokrasia.
 
jamaa wakati yupo waziri alikopeshwa na rafiki yake euro laki tano akajenga nyumba, kwa maana hiyo kaikosesha nchi mapato, na vilevile alikuwa anatoa tenda kwa baadhi ya makampuni kwa ujira wa rushwa ya kulipiwa safari na hotel akiwa mapumzikoni, wenzetu wanatawaliwa na sheria na binaadam wote ni sawa, mwanasheria wa serikali aliliomba bunge limuondolee kinga, embu fikiria hapa kwetu eti mwanasheria wa serikali aliombe bunge limuondolee rais kinga ya kutoshitakiwa, wakwetu wao wapo kwa ajili ya kumuongezea kinga, utawala wa sheria ni raha sana,maana kila kitu kiko wazi ukifanya hivi sheria inasema hivi, kwetu hawa viongozi wao ndiyo namba moja kuipinda hiyo sheria.
Mkuu, hizo sehemu nyekundu, Tanzania mtu akuteuliwa kuwa mwanasheria mkuu, huyu baadae huwa ni mwanasheria mkuu binafsi wa raisi kwa hivyo kumtetea yeye na walio wake (jamaa, marafiki, mawaziri) na sio kufanyakazi kama mwanasheria mkuu wa serikali.

Huo unaosemea wewe "utawala wa sheria", ukweli wake unakuwa "utawala usiokuwa wa kisheria" ndio unaokuwa raha.
 
Back
Top Bottom