Yaani habari imekaa ki wizi kabisa! Habari imebeba gazeti alafu unaandika bla bla hakuna tafiti wala uchambuzi wa maono ya mwandishi baada ya kufuatilia habari.inaonesha hawataki kuingia gharama ya kumpa assignment ya kutosha aje na habari iliyoshiba hata hiyo habari itakuwa walikurupuka baada ya kukosa habari!Hawana jipya soma hata Sayari lina nafuu.