Gazeti la The East African: Katuni ya Kejeli kwa Tanzania, Olympic

Wakenya si wanataka wao wawe juu siku zote tu.

Kiranga,kama umefuatilia hii michezo kupitia KBC utagundua kwamba hata Wakenya wanalalamika kwamba timu yao imefanya vibaya. Lakini tukubaliane na ukweli mmoja kwamba ktk hiyo sekta mpaka sasa wapo juu sana kulinganisha na ubabaishaji wetu.
 
Yaaani kwa maneno mdomo wa TZ umejaa medali!!!

Hivi nani alimpa madaraka Bayi??? Ana akili timamu mtu huyu?

Pia tuwaelewe wakenya kwamba siyo washirika wetu. ni wapinzani na washindani wetu. Tz hatujawachora kwa upuuzi wao wa kuingia Somalia kwa sababu ya wazungu wawili tu waliotekwa nyara. sasa hivi wanalizwa kila kona ya Nairobi.

Hutaki ukweli siyo??.........................?? Si na wewe kawachore wanapigwa mabomu na Wasomalia kama unaona ni issue. Afterall mchoraji ni Mbongo mwenzetu!! Hivi hao wawakilishi wetu umewaona wakishiriki mchezo wowote zaid ya Marathon leo ambayo wanapitwa mpaka na Wapakstani!!
 
Yaaani kwa maneno mdomo wa TZ umejaa medali!!!

Hivi nani alimpa madaraka Bayi??? Ana akili timamu mtu huyu?

Pia tuwaelewe wakenya kwamba siyo washirika wetu. ni wapinzani na washindani wetu. Tz hatujawachora kwa upuuzi wao wa kuingia Somalia kwa sababu ya wazungu wawili tu waliotekwa nyara. sasa hivi wanalizwa kila kona ya Nairobi.




Unapoandika mada ama kutoa maoni jaribu kutumia fikra si hasira zisizo na sababu kwani unapotoka na kukosa maana. Hivi ulishajiuliza kwanini kenya walienda mpaka Somalilia kushambulia al shabab? Ngoja nikufupishe tu, siku zote unapotaka kujenga nyumba kwenye kichuguu, hausawizishi kichuguu bali unang'oa shina zima au siyo? Je, shina la al shabab liko wapi? Jaribu kupata the whole picture ya hiii story ndipo utoe maoni yako la sivyo utakuwa mtu wa bla bla kama watanzania wengi. Rais Mkapa alisema haya, watanzania si watu wa kujituma ni watu wa bla bla na ni wavivu wa kufikiri, je na wewe upo huko? Mh. rais aliona mbali sana kwa kutuita hivi and I support him kwani wengi wetu wako hivi. We umeona wapi mtu kusema ukweli ukawa mpinzani ama msaliti? Hapa Tanzania ukiongea ukweli ama ukidai haki yako unazimwa, si ujinga huu? Yaani inakuwa kama vile baadhi ya viongozi na watu hawataki watanzania kuwa na akili ya kudai haki yao. Kikwete na viongozi wake wanatubia mali zetu, nimesema mali zetu si za Kikwete wala viongozi serikalini...ukilalamika unaitwa mchonganishi na kufungwa. Majirani zetu wanajua kuwa watanzania tuko hivi na ndiyo maana wanatudharau. Mtu kamwe huwezi kusifia ujinga kuogopa kuitwa msaliti, sifia kinachohitaji kusifiwa. Tafadhali mwana JF mwenzangu usiwe na hasira za kukurupukia kujibu watu, jaribu kufikiri kwanza na muhimu uwe na data za kuku support, hapa ni shule ya elimu dunia si uropokaji/bla bla bla.
 
Mimi nimependa mzigo wa medali ulizobeba TZ, Medali Za :blah::blah::blah: na Sababu. Hongera Tanzania.

TANZANIA NA MEDALI ZA SABABU.png
Sababu1.png Sababu2.png Sababu3.jpg Sababu4.jpg
 
Wakenya si wanataka wao wawe juu siku zote tu.


Kiranga, inabidi uchunguzwe akili yako. Kusema ukweli si kashfa, mbona wakenya wanatupita kwenye riadha hata na soka pia pamoja na vitu vingi tu. Huu si uongo, wako juu yetu kwa kila kitu labda sie tumewazidi katika suala la ukabila lakini kimaendeleo wako juu sana, kubali ukweli. Tukiachana na bla bla na kufanya la maana kushindana na wenzetu mbona tutafika mbali. Hii ya kukaa na kutegemea kuwa ipo siku Mungu atatuona, huu ni ujinga. Huwezi kushinda kitu kwa kutegema dua za Mungu, inabidi ujitume kama wafanyavyo wenzetu, na ndiyo maana tunashindwa siku zote na kubaki oh tulionewa, sijuwi nini. Huu ni uzembe na ni ujinga, tuwe na usongo wa kujituma ili tushindane kama wenzetu.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania mdomo mkubwa, vitendo sifuri, kazi kukagua mananasi ghana wakati chalinze yapo
 
Kiranga, inabidi uchunguzwe akili yako. Kusema ukweli si kashfa, mbona wakenya wanatupita kwenye riadha hata na soka pia pamoja na vitu vingi tu. Huu si uongo, wako juu yetu kwa kila kitu labda sie tumewazidi katika suala la ukabila lakini kimaendeleo wako juu sana, kubali ukweli. Tukiachana na bla bla na kufanya la maana kushindana na wenzetu mbona tutafika mbali. Hii ya kukaa na kutegemea kuwa ipo siku Mungu atatuona, huu ni ujinga. Huwezi kushinda kitu kwa kutegema dua za Mungu, inabidi ujitume kama wafanyavyo wenzetu, na ndiyo maana tunashindwa siku zote na kubaki oh tulionewa, sijuwi nini. Huu ni uzembe na ni ujinga, tuwe na usongo wa kujituma ili tushindane kama wenzetu.
Hapa umemaliza yote Mkereketwa_Huyu Mkuu! Huwa ninafuatilia mashindano ya riadha ya dunia na ya kikanda, sijawahi kuiona Tanzania kushiriki zaidi ya kwenye mashindano ya Afrika na Jumuiya ya Madola, ambako nako hatufanyi lolote na maana. Kwa wenzetu, kushindwa ni aibu, kwetu imekuwa kama sifa. Wakati timu za nchi nyingi, pamoja na kuambulia medali, zimeanza kujitathmini walikosea wapi na kuanza mikakati ya matayarisho kwa Olympics za Rio, sisi tutasubiri mpaka 2016 ndio tuanze kujitayatisha ambapo kwa kweli sio kujitayarisha bali kujitahayarisha.

Tuendelee kuwa vichwa vya wendawazimu katika michezo na shamba la bibi katika uchumi, labda siku moja Mungu atatuonea huruma.
 
Last edited by a moderator:
kwanza hao wakenya wanaokimbia bila kufukuzwa walishaambiwa wanatumia steroids hawajajibu hoja hadi leo hii..
 
Kiranga, inabidi uchunguzwe akili yako. Kusema ukweli si kashfa, mbona wakenya wanatupita kwenye riadha hata na soka pia pamoja na vitu vingi tu. Huu si uongo, wako juu yetu kwa kila kitu labda sie tumewazidi katika suala la ukabila lakini kimaendeleo wako juu sana, kubali ukweli. Tukiachana na bla bla na kufanya la maana kushindana na wenzetu mbona tutafika mbali. Hii ya kukaa na kutegemea kuwa ipo siku Mungu atatuona, huu ni ujinga. Huwezi kushinda kitu kwa kutegema dua za Mungu, inabidi ujitume kama wafanyavyo wenzetu, na ndiyo maana tunashindwa siku zote na kubaki oh tulionewa, sijuwi nini. Huu ni uzembe na ni ujinga, tuwe na usongo wa kujituma ili tushindane kama wenzetu.

No doubt Tanzania tumecheza, but that's not the beef here.

Kusema kweli si kashfa.Kusema uongo ni kashfa.

Hiyo katuni imeonyesha Waganda hawana medali wakati wamechukua medali ya dhahabu.

Kashfa.
 
Back
Top Bottom