Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Mnakumbuka ile katuni iliyokuwa imechapwa kwenye gazeti la Kenya ikonesha wana habari wa Tanzania wakilamba viatu vya JK. Ililalamikiwa sana ingawa ilikuwa na ukweli fulani. Sasa imewekwa katuni kwenye gazeti la The East African kama ilivyo hapa chini. Sijui tena tukasirike au tukubali ukweli?