Gazeti la The East African: Katuni ya Kejeli kwa Tanzania, Olympic

Filbert Bayi amesema tatizo siyo uongozi wa Olympic bali serikali
 
kwanza hao wakenya wanaokimbia bila kufukuzwa walishaambiwa wanatumia steroids hawajajibu hoja hadi leo hii..

Mkuu simplemind amekupatia jibu hapo juu kwamba wanariadha wao na wa mataifa mengine kwa wakimbiaji wa mbio za kati mpaka ndefu wanafanya mazoezi yao Eldoret. Hali ya hewa ya Eldoret na mazingira yake yanamjenga mwanariadha uwezo zaidi kulinganisha na wanaotoka maeneo mengine duniani.
 
Kwani hatuwezi hata kupiga blah blah hadi Olympic wakaamua kuweka mchezo wa blah blah kwenye orodha ya michezo yake? Na kama ikiwekwa, tutashinda?
Jamani wangetuwekea hata mchezo wa Bao nafikiri wale wazee wetu wangerudi vifua mbele.
 
Sio raiadha tu, kila aina ya mchezo ni blah,blah tu. Imepotea wapi ile bidii ya akina John Stephen, Bayi, Naftaeli, Titus Simba? Mpira ndio kabisaa!!!
 
No doubt Tanzania tumecheza, but that's not the beef here.

Kusema kweli si kashfa.Kusema uongo ni kashfa.

Hiyo katuni imeonyesha Waganda hawana medali wakati wamechukua medali ya dhahabu.

Kashfa.
Mkuu Kiranga nadhani ukiangalia tena hii cartoon utaona kwamba jamaa hajakosea kitu na issue hapa sio kuonyesha nchi gani ina medali ngapi bali kuonyesha mtizamo wa nchi kutokana na kilichofanyika huko:-

utaona kwamba according to the cartoonist hapo ameonyesha
Tanzania ni watu wa maneno tuu...., (hata ingekuwepo medali ya maneno wangepata)
Rwanda wamelala
Burundi they are invisible hata hawaonekani
Uganda (hapa ndio una issue napo) ni kwamba ingawa wamepata medali moja (kwao ni ushindi mkubwa sana ndio maana jamaa anapiga mluzi huku kabeba mabegi kwa furaha)
Kenya Ingawa kwa africa wamefanya vizuri kuliko wenzao lakini according to matarajio yao kwao wamefanya vibaya ndio maana wanasikitika>
 
Last edited by a moderator:
Mkuu upo?...mbona na wakenya amewaweka wakati wamechukua zaidi ya kumi...

Tena katuni inaonyesha wakenya wakiona aibu kwa kutoridhika na utendaji wao safari hii. Sie, kama kawaida yetu, tangu tunaondoka bila shaka ngonjera za kujibu maswali magumu zilishaandaliwa mapema kabla hata Olimpiki yenyewe kuanza. Ya Uganda nadhani yatawekwa sawa baadaye maana ni kweli mchoraji (labda kwa kutotegemea mtikisiko wa marathon) kawaonea zaidi kama vile walienda tu kufanya shopingi ya nguvu!
 
Sio raiadha tu, kila aina ya mchezo ni blah,blah tu. Imepotea wapi ile bidii ya akina John Stephen, Bayi, Naftaeli, Titus Simba? Mpira ndio kabisaa!!!

Mzee John Stephen anasema Australia walitaka kumjengea kituo cha michezo huko Mbulu,kama kawaida ya watendaji wa serikali akakwamishwa. Kwa maoni yangu ilikua fursa nzuri kwa vijana wa mikoa ya Arusha,Manyara,Dodoma na Singida kupata wanariadha wazuri kwa mbio za kati na ndefu. Kituo kingine kwa wanariadha wa mbio fupi mpaka kati kingejengwa kanda ya Ziwa kwa vijana toka mikoa ya Kigoma,Kagera,Mwanza na Mara. Kuna watu wenye nguvu ambayo ni sifa muhimu kwa mbio fupi.
 
Kwanini watz tuhangaikie dhahabu olimpic wkt zimejaa mererani?
 
Hivi medali za africa ni kukimbia tu?.

I don't think it is time kutafuta proudness against other countries. Kama nchi yeyote inatafuta sifa, basi ikacompete na wamarekani ambao wanaongoza kwa medali, otherwise kuanza kucompare na non-serious countries na kujiona ipo juu, its kind of childish game. Medali zenyewe ni kukimbia tu, can't we think of something else kutupatia medali. Kama benchmark itakuwa ni against poor performing countries, then that is quite a pessimistic view.
 
Hongera mchoraji Gado. Watanzania ni watu wa saundi (sound/porojo/maneno) kuanzia siasa, uchumi, sanaa n.k. Tuko bize kubishana na kutukanana mambo yasiyokuwa ya msingi. Kila kukicha tunaambia wenyewe kwa wenyewe "wale si wenzetu." Afrika ina matatizo makubwa, Tanzania ina matatatizo makubwa zaidi.
 
Mkuu Kiranga nadhani ukiangalia tena hii cartoon utaona kwamba jamaa hajakosea kitu na issue hapa sio kuonyesha nchi gani ina medali ngapi bali kuonyesha mtizamo wa nchi kutokana na kilichofanyika huko:-

utaona kwamba according to the cartoonist hapo ameonyesha
Tanzania ni watu wa maneno tuu...., (hata ingekuwepo medali ya maneno wangepata)
Rwanda wamelala
Burundi they are invisible hata hawaonekani
Uganda (hapa ndio una issue napo) ni kwamba ingawa wamepata medali moja (kwao ni ushindi mkubwa sana ndio maana jamaa anapiga mluzi huku kabeba mabegi kwa furaha)
Kenya Ingawa kwa africa wamefanya vizuri kuliko wenzao lakini according to matarajio yao kwao wamefanya vibaya ndio maana wanasikitika>

Medali ya Uganda iko wapi?

Kubali tu wamekurupuka na kuchora katuni kabla michezo haijakamilika huku wakifikiri Uganda haina uwezo wa kupata medali.

Uganda proved them wrong.

The joke is on the cartoon now instead of being on Tanzania.
 
Medali ya Uganda iko wapi?

Kubali tu wamekurupuka na kuchora katuni kabla michezo haijakamilika huku wakifikiri Uganda haina uwezo wa kupata medali.

Uganda proved them wrong.

The joke is on the cartoon now instead of being on Tanzania.

Inategemea na wewe ulipoweka mtazamo wako zaidi. Ni ajabu kuwa arguments zako zimejikita katika "makosa" kwa Uganda na si "Usahihi" kwa Tanzania. Nionavyo mimi kwa Watanzania, hoja za msingi zinaangukia katika "porojo" zetu kama ilivyooneshwa katika katuni kuliko kuendeleza "blah blah" kuhusu Waganda. Sitoshangaa mwisho wa siku tukaweka miguu juu tukiwa tumeridhika kabisa kuzima hoja za mchoraji Gado kupitia "makosa" juu ya Waganda. Blah blah zinaendelea!!! Blah Blah Blah Blah.... medali elfu tatu!!!!
 
Medali ya Uganda iko wapi?

Kubali tu wamekurupuka na kuchora katuni kabla michezo haijakamilika huku wakifikiri Uganda haina uwezo wa kupata medali.

Uganda proved them wrong.

The joke is on the cartoon now instead of being on Tanzania.
Mkuu Kiranga uzuri wa kazi nzuri ya kisanii inaweza ikawa na tafsiri nyingi...., Medali ya uganda ipo wapi naweza kusema ipo kwenye one of the bags...!!!, (Thats why jamaa anapiga mluzi kwa furaha na amefanya shopping kubwa, as its job well done) pia sababu sio kawaida yao kushinda medali atakuwa ameificha mbali isipotee !!!...

Kwahiyo cartoon hii tafsiri ya kwamba Uganda ndio wenye furaha kuliko wenzao wote is plausible..., sababu they have not done it for so long...

Therefore naweza kusema cartoon hii imekamilika na ina-potray message ambayo ni kweli tupu.., na your argument kwamba picha inasema Uganda hawana medali sio kweli as medali inaweza ikawa kwenye one of the bags
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na wewe ulipoweka mtazamo wako zaidi. Ni ajabu kuwa arguments zako zimejikita katika "makosa" kwa Uganda na si "Usahihi" kwa Tanzania. Nionavyo mimi kwa Watanzania, hoja za msingi zinaangukia katika "porojo" zetu kama ilivyooneshwa katika katuni kuliko kuendeleza "blah blah" kuhusu Waganda. Sitoshangaa mwisho wa siku tukaweka miguu juu tukiwa tumeridhika kabisa kuzima hoja za mchoraji Gado kupitia "makosa" juu ya Waganda. Blah blah zinaendelea!!! Blah Blah Blah Blah.... medali elfu tatu!!!!

Obviously hunifuatilii ninavyoandika na unataka kusoma unachotaka wewe.

Nimeshaongea kuhusu uzembe wa Tanzania.

Lakini pia hilo halinizuii kuongelea presumptive nature ya cartoonist.
 
Mkuu Kiranga uzuri wa kazi nzuri ya kisanii inaweza ikawa na tafsiri nyingi...., Medali ya uganda ipo wapi naweza kusema ipo kwenye one of the bags...!!!, (Thats why jamaa anapiga mluzi kwa furaha na amefanya shopping kubwa, as its job well done) pia sababu sio kawaida yao kushinda medali atakuwa ameificha mbali isipotee !!!...

Kwahiyo cartoon hii tafsiri ya kwamba Uganda ndio wenye furaha kuliko wenzao wote is plausible..., sababu they have not done it for so long...

Therefore naweza kusema cartoon hii imekamilika na ina-potray message ambayo ni kweli tupu.., na your argument kwamba picha inasema Uganda hawana medali sio kweli as medali inaweza ikawa kwenye one of the bags

Katuni ilichorwa kabla ya michezo kumalizika, kabla Uganda haijashinda.

Ukitaka kuleta habari za alternative interpretation mtu anaweza kuanza kukuambia hata Tanzania imeshinda kwa kumaliza mashindano.

Jamaa kakurupuka kubali tu.
 
Back
Top Bottom